DAVOS, Switzerland: Rais wa Ukraine Zelensky akutana na kufanya mazungumzo na Rais Kagame wa Rwanda

Ujinga wake ni kujitetea alipovamiwa ? Au kukubali msaada wa mabeberu ?
 
Ukiona hiyo nembo ya World economic Forum , hao ndio shakers na movers WA huu ulimwengu , a bunch of evil people
Ndio wanaowatumia watawala wa huu ulimwengu kama puppets
 
Kwani kuna sehemu Russia alisema anataka kuipinduia kivu? [emoji848]
Na pia alikuwa na lengo la kutaka kumsimamisha kibaraka wake kwa ajili ya watu wa Ukraine kama alivyojaribu kwenye yale majimbo aliyofikiria amyeyanyakua
 
Jamaa anavaga nguo ,na safety buti kama vijana wa Tanesco.
 
πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘
 
Haha kiboko huku anarandaranda kupitisha bakuli... Kavita kamekua kagumu muungano wote umesanda kwa mtu mmoja Putin.......
Lakin dikteta Putin kwa uoga wake kajificha Moscow kama nguchiro,Mwamba Zelensky anapiga misele na hakuna wa kumfanya kitu.
 
Lakin dikteta Putin kwa uoga wake kajificha Moscow kama nguchiro,Mwamba Zelensky anapiga misele na hakuna wa kumfanya kitu.
Ameshawamega shida yake nini tena..... Rudisheni hiko kipande kilicho megwa......... Huyo anapiga misele kutembeza bakuli na kuomba waonewe huruma
 
Ameshawamega shida yake nini tena..... Rudisheni hiko kipande kilicho megwa......... Huyo anapiga misele kutembeza bakuli na kuomba waonewe hu

Ameshawamega shida yake nini tena..... Rudisheni hiko kipande kilicho megwa......... Huyo anapiga misele kutembeza bakuli na kuomba waonewe huruma
Amemega nini Sasa wakati hawezi hata kwenda kupatembelea! Nguchiro kajichimbia kwenye mahandaki ya Kremlin kumuogopa Zelensky
 
Kagame mjinga mwizi na mvamizi leo Congo na Burundi wamemfungia mipaka , Tz enzi za JK tuliingia mgogoro jirani yake Uganda wamewahifungiana mipaka karibu miaka 2 sasa huyu kenge kwenye jumuiya ya EAC tunamfuga wa Nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…