Dawa ipi inafaa kwa Tumbo la Period?

wanawake tunapitia hali ngumu sana hasa inapofika zile siku maalumu.

Ni dawa ipi nzuri au kitu gani kinaweza kufanyika kupunguza maumivu?
Eeeeeh aaahyaaah πŸƒπŸ»β€βž‘οΈ πŸƒπŸ»β€βž‘οΈ πŸƒπŸ»β€βž‘οΈ πŸƒπŸ»β€βž‘οΈ
 
Diclofenac nazo zinasaidia kutuliza maumivu hadi siku za mzunguko zipite, hio kusema ujauzito ndio dawa au kuzaa vipi inaganya kazi kwa masista wa huko kanisani.
 
Eeeeeh aaahyaaah πŸƒπŸ»β€βž‘οΈ πŸƒπŸ»β€βž‘οΈ πŸƒπŸ»β€βž‘οΈ πŸƒπŸ»β€βž‘οΈ
Nini sasa naumwa ujue
 
Mara kibao tu hii πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Kumbe kweliiii maana alikua analalamika anasema sijui hii naniliu kubwa..
Hi yangu et...

Nikawa najiuliza ni kweli au ananichora.
Huyu sio mshangazi lakini haka ni katoto ka elfu mbili ambacho nilikutananacho kule tulipokamatwa na halmashauli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…