Sawa mkuuKwani nani kakwambia mimba inakataliwa? Anaekataliwa ni mtoto sio mimba
Haya wahi umeshapewa dawa ya kutoa mimba nyingine changaNaenda kuitafuta sasa hivi πlinauma. Asante sana
Ety kuna huyo mmoja anasema ameingia PD baada ya mizagamuoNimeishauona uchokozi kabisa π π π
Naenda kuitafuta sasa hivi πlinauma. Asante sana
Eeeeeh aaahyaaah ππ»ββ‘οΈ ππ»ββ‘οΈ ππ»ββ‘οΈ ππ»ββ‘οΈwanawake tunapitia hali ngumu sana hasa inapofika zile siku maalumu.
Ni dawa ipi nzuri au kitu gani kinaweza kufanyika kupunguza maumivu?
Kumbe kweliiii maana alikua analalamika anasema sijui hii naniliu kubwa..Mara kibao tu hii π π π
PoleNini sasa naumwa ujue