Dawa ya GAMMORA kutoka kampuni ya Zion Medical ni kweli kwamba inatibu HIV?

Dawa ya GAMMORA kutoka kampuni ya Zion Medical ni kweli kwamba inatibu HIV?

Wana Jukwaa la JF Shalom Shalom, Assalamu aleykumu, Tumsifu Kristo Yesu,
Bila kuwapotezea mda wadau naomba msaada wa maelekezo kwa mwenye information kuhusu kampuni ya Zion medical ya huko Israel, kuwa ina tengeneza dawa aina ya Gommora ya kutibu H.iv, kumekuwa na matangazo kwenye baadhi ya mitandao ya kijamii kuitangaza hiyo dawa, huku ukiwatafuta wanakupa namba wakisema wao ni mawakala wako nchi ya Zambia, na wanakutumia dawa ukituma hela, dawa wanauza dollars 250 ya vidonge matumizi ni siku 21 na kuna ya sindano nadhani dollars 500,
Nina ndugu yangu ana changamoto ya H.i.v nilitamani kumnunulia ila nikaingia woga kufanya manunuzi bila kufanya udadisi na kwa watu wengine nisije tapeliwa, maana naogopa biashara ya kumtumia mtu hela huku simjui,
Nikaona nije hapa kwenye jukwaa huenda kuna wenye uelewa zaidi na jambo hili, pia wadau hivi kwa hapa Tanzania kuna ubalozi wa Israel?
Kama upo nikienda kwenye ubalozi wao kupata usaidizi wa kuunganishwa moja kwa moja na watoa dawa wa Zion medical kampuni, je inawezekana?
Asanteni sana.
Kuna Kampuni ya Israel ina dawa
1. kidonge kimoja kwa siku na baada ya miezi 6 virusi vya HIV avionekani kwenye Darubini lakini wanasisitiza usiache dawa
2. Wana Vidonge unakula kila siku kimoja- ata ukiwekewa damu yenye HIV aupati maambukizi.
3. Wana dawa ambazo ukila unakaa up to 3 months ndo umeze tena
Dawa Zao zote zimejaribiwa na kuwa certified na FDA ya USA- hapa Tanzania zinapatikana pia- na azina side efects
Hawa Zion medicine Kuna hii hapa👇🏻👇
 
Mkuu mm sio mjuzi ntakutapeli tu ni mhuni wa kinondoni ila nakuapia dawa ipo ni vimaua tu mm nliwahi ona ila skuwa serious ila komaa na watu wa madawa ya asili ipo tena unapona wiki tuu.ila duniani watu tumependa hela sana
Huo mti natamani ungekuwa na picha unitumie kiongozi, sorry Lakini kwa usumbufu.
 
Huo mti natamani ungekuwa na picha unitumie kiongozi, sorry Lakini kwa usumbufu.
Siukumbuki kabisa niliuona kwa macho n'a skua serious kuna mtoto chuo alipona ni stor ya skumingi .nia ni kukupa moyo kuwa ipo ila hata mm ngeijua wangeshanizika .alieleta alikuwa mbibi wa kigoma ila ilikuwa maua ya kawaida tu yapo mitaan ila ndo wanadamu hatupendan.mfano kinga ya kansa ni majani ya matofaa tu unachemsha unakunywa inamaliza kansa zote ila ndo hivo duniani kampuni za dawa zinapata hela mingi mno kwa dawa zake
 
Back
Top Bottom