Dawa ya GAMMORA kutoka kampuni ya Zion Medical ni kweli kwamba inatibu HIV?

Kuna Kampuni ya Israel ina dawa
1. kidonge kimoja kwa siku na baada ya miezi 6 virusi vya HIV avionekani kwenye Darubini lakini wanasisitiza usiache dawa
2. Wana Vidonge unakula kila siku kimoja- ata ukiwekewa damu yenye HIV aupati maambukizi.
3. Wana dawa ambazo ukila unakaa up to 3 months ndo umeze tena
Dawa Zao zote zimejaribiwa na kuwa certified na FDA ya USA- hapa Tanzania zinapatikana pia- na azina side efects
Hawa Zion medicine Kuna hii hapa👇🏻👇
 
Mkuu mm sio mjuzi ntakutapeli tu ni mhuni wa kinondoni ila nakuapia dawa ipo ni vimaua tu mm nliwahi ona ila skuwa serious ila komaa na watu wa madawa ya asili ipo tena unapona wiki tuu.ila duniani watu tumependa hela sana
Huo mti natamani ungekuwa na picha unitumie kiongozi, sorry Lakini kwa usumbufu.
 
Huo mti natamani ungekuwa na picha unitumie kiongozi, sorry Lakini kwa usumbufu.
Siukumbuki kabisa niliuona kwa macho n'a skua serious kuna mtoto chuo alipona ni stor ya skumingi .nia ni kukupa moyo kuwa ipo ila hata mm ngeijua wangeshanizika .alieleta alikuwa mbibi wa kigoma ila ilikuwa maua ya kawaida tu yapo mitaan ila ndo wanadamu hatupendan.mfano kinga ya kansa ni majani ya matofaa tu unachemsha unakunywa inamaliza kansa zote ila ndo hivo duniani kampuni za dawa zinapata hela mingi mno kwa dawa zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…