Dawa ya kumfanya mwanaume akupende na hatimaye akuoe

Utapeli huu
 
Aisee..
Kwa hiyo timu "Kataa Ndoa" wamepatikana sasa, hakuna kuchomoa ๐Ÿ˜†
Salama yao itakuwa ni kujikita kwenye punyeto pekee
 
Aisee..
Kwa hiyo timu "Kataa Ndoa" wamepatikana sasa, hakuna kuchomoa ๐Ÿ˜†
Salama yao itakuwa ni kujikita kwenye punyeto pekee
Hawana pa kutokea. Nawaona wanachochea eti uzi ufutwe... mara wananiita tapeli, sasa natapeli nini hapo... somo lote nimelimwaga bila kuruka hatua. Kazi wanayo.
 
Eeeh kuwasiliana tena ili iweje sasa
 
Kwani mwanamke lazima aolewe na mwanaume sini mnasema mnajiweza.?
 
ledada we hutaki mume..? nifanyie hiyo dawa basi nikupende nikuwowe!..๐Ÿ˜‚
SIWEZI๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚kama hunipendi hunipendi tu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
weka na ya kinyume chake. kuna mwanamuke nataka kumuoa ananizingua. yupo humuhumu jeifu folam
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ