Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
VIJANA WAGEUKA WALOZI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hutaki raha wewe kumbe haya niache nikashikwe na magugu maji!Sitaki unipende sana🤣utanichosha🤣🤣
Haya babe kazunguke ukichoka urudiii😂😂😂hutaki raha wewe kumbe haya niache nikashikwe na magugu maji!
sawa mchumba... nitarudi na ngeo unitibieHaya babe kazunguke ukichoka urudiii😂😂😂
Ngeo tena😂😂sawa mchumba... nitarudi na ngeo unitibie
Jamaa yupo kimkakati, hapo katega nyavu kwa wanaotaka kutengenezewa dawa achukuwe maokoto.Mwanamke aliye desperate mpaka kutafuta dawa hivi, anaweza hata kukuua, bila kupanga.
Ni wa kuogopwa sana.
Shishi mbona anaowa vivulana vipenda mseleleko anavichezea vikishamtowa nyege anavibwaga anatarget ukuni mpya.Kwani mwanamke lazima aolewe na mwanaume sini mnasema mnajiweza.?
Sasa hao wengine wazini tu wasiolewe sio? Siamini hayo kua ni maneno ya Yesu.Sheikh mtume Issa bin Mariam alitoa elimu na kuwaachia akina Paul watufunze sisi waje wake kwamba wake/waume wawe na mke/mume mmoja, hebu pitia kitabu cha 1 Corinthians 7, hapo mwanzo tu.
Hamna dawa kama hiyo,kwani wale babu wa sumbawanga na Tanga wamekuambiaje kwenye mabango yao? Hadi hapo jua umeshaibiwa😂Zingatia kwamba, unayemfanyia haya si mume wa mtu, kwani anaweza akatelekeza familia yake na kukufuata wewe.
Hii ni kwa mwanamke ambaye yupo kwenye mahusiano na mwanaume. Katika mahusiano yenu, unaona kabisa hakuna dalili za ndoa. Dawa hii itasaidia kufanya mwanaume huyu akuoe na siyo kuishia kukuchezea.
Wapo mabinti ambao mna mahusiano na zaidi ya mtu mmoja. Mnaruhusiwa kufanya dawa hii, lakini muhimu ni kwamba, kila mmoja umfanyie kwa wakati wake, usiwachanganye wote pamoja.
Unaweza kufanya dawa hii peke yako, au unaweza kusaidiwa kwa kuwasiliana nami.
MAHITAJI YA DAWA
Chumvi ya dukani kijiko kimoja.
karatasi nyeupe isiyokuwa na mistari.
Maji lita moja.
KAMA KILA KITU KIPO TAYARI, SASA FANYA HAYA:
Andika jina la mtu unayemtaka kwa herufi kubwa katika karatasi. Chini ya jina, andika unachotaka kutoka kwa huyo mtu kwa herufi kubwa. Kwa mfano unaweza kuandika: MAIGE JUMA, NIPENDE UNIOE, NATAKA NDOA KWAKO, USIISHIE KUNICHEZEA, PATA MOYO WA KUNIOA, TUISHI PAMOJA.
Ukimaliza, weka chumvi juu ya karatasi, kisha kunja karatasi yako ikiwa na chumvi: kunja kama unatengeza sigara, ukimaliza kukunja, funga pande zote chumvi isimwagike, halafu iingize karatasi ile ndani ya chupa ya maji. Ihifadhi chupa hiyo sehemu ambayo si rahisi kufikiwa na watu kwa muda wa siku saba, baada ya hapo unaweza kuitupa. Unaweza kupokea matokeo ndani ya siku saba, au ikachelewa kidogo kulingana na ugumu wa mtu wako, lakini, ndoa itatangazwa. Muhimu, hakikisha unawasiliana nami muda wote kuniambia maendeleo yako.
Shishi mbona anaowa vivulana vipenda mseleleko anavichezea vikishamtowa nyege anavibwaga anatarget ukuni mpya.
Niwaheri ama,usiwe tu wa mchongo😁Haya mambo yapo,kuna we hapa unajishebedua ila shida ikikufika mbona utafanya tu.
Niliwahi kuzongwa na mtu kwenye mahusiano alikuwa anafosi sana na mimi wala hata sina mpango naye mbona nilimweka mbali.
Zingatia kwamba, unayemfanyia haya si mume wa mtu, kwani anaweza akatelekeza familia yake na kukufuata wewe.
Hii ni kwa mwanamke ambaye yupo kwenye mahusiano na mwanaume. Katika mahusiano yenu, unaona kabisa hakuna dalili za ndoa. Dawa hii itasaidia kufanya mwanaume huyu akuoe na siyo kuishia kukuchezea.
Wapo mabinti ambao mna mahusiano na zaidi ya mtu mmoja. Mnaruhusiwa kufanya dawa hii, lakini muhimu ni kwamba, kila mmoja umfanyie kwa wakati wake, usiwachanganye wote pamoja.
Unaweza kufanya dawa hii peke yako, au unaweza kusaidiwa kwa kuwasiliana nami.
MAHITAJI YA DAWA
Chumvi ya dukani kijiko kimoja.
karatasi nyeupe isiyokuwa na mistari.
Maji lita moja.
KAMA KILA KITU KIPO TAYARI, SASA FANYA HAYA:
Andika jina la mtu unayemtaka kwa herufi kubwa katika karatasi. Chini ya jina, andika unachotaka kutoka kwa huyo mtu kwa herufi kubwa. Kwa mfano unaweza kuandika: MAIGE JUMA, NIPENDE UNIOE, NATAKA NDOA KWAKO, USIISHIE KUNICHEZEA, PATA MOYO WA KUNIOA, TUISHI PAMOJA.
Ukimaliza, weka chumvi juu ya karatasi, kisha kunja karatasi yako ikiwa na chumvi: kunja kama unatengeza sigara, ukimaliza kukunja, funga pande zote chumvi isimwagike, halafu iingize karatasi ile ndani ya chupa ya maji. Ihifadhi chupa hiyo sehemu ambayo si rahisi kufikiwa na watu kwa muda wa siku saba, baada ya hapo unaweza kuitupa. Unaweza kupokea matokeo ndani ya siku saba, au ikachelewa kidogo kulingana na ugumu wa mtu wako, lakini, ndoa itatangazwa. Muhimu, hakikisha unawasiliana nami muda wote kuniambia maendeleo yako.
Mbona mwamposa pia anawapa chumvi na anawambia mchukue mchanga wa eneo la biashara? Wakristo mnapenda kujifanya wataktifu wakati ni wachawi wakubwa.Mkuu itakuwaje Kama wanawake watatu wakinifanyia hivyo na Mimi Ni mkristo ..??
Kachukue chumvi ya kwa mwamposa imeshuka toka mbinguniHiyo sio dawa ni usanii