Dawa ya kumfanya mwanaume akupende na hatimaye akuoe

Dawa ya kumfanya mwanaume akupende na hatimaye akuoe

Sheikh mtume Issa bin Mariam alitoa elimu na kuwaachia akina Paul watufunze sisi waje wake kwamba wake/waume wawe na mke/mume mmoja, hebu pitia kitabu cha 1 Corinthians 7, hapo mwanzo tu.
Weka mstari wa kwenye bible yesu aliposema tuwe na mke mmoja
 
Na ss wanaume ili mwanamke akupende tunaweza fanya hvyo au kuna njia nyngine ya kufanya ili tupendwe,maana kuna mtoto nimempenda ila hanielewi nishampga sound nyingi lakini haeleweki
 
Zingatia kwamba, unayemfanyia haya si mume wa mtu, kwani anaweza akatelekeza familia yake na kukufuata wewe.

Hii ni kwa mwanamke ambaye yupo kwenye mahusiano na mwanaume. Katika mahusiano yenu, unaona kabisa hakuna dalili za ndoa. Dawa hii itasaidia kufanya mwanaume huyu akuoe na siyo kuishia kukuchezea.

Wapo mabinti ambao mna mahusiano na zaidi ya mtu mmoja. Mnaruhusiwa kufanya dawa hii, lakini muhimu ni kwamba, kila mmoja umfanyie kwa wakati wake, usiwachanganye wote pamoja.

Unaweza kufanya dawa hii peke yako, au unaweza kusaidiwa kwa kuwasiliana nami.

MAHITAJI YA DAWA
Chumvi ya dukani kijiko kimoja.

karatasi nyeupe isiyokuwa na mistari.

Maji lita moja.

KAMA KILA KITU KIPO TAYARI, SASA FANYA HAYA:

Andika jina la mtu unayemtaka kwa herufi kubwa katika karatasi. Chini ya jina, andika unachotaka kutoka kwa huyo mtu kwa herufi kubwa. Kwa mfano unaweza kuandika: MAIGE JUMA, NIPENDE UNIOE, NATAKA NDOA KWAKO, USIISHIE KUNICHEZEA, PATA MOYO WA KUNIOA, TUISHI PAMOJA.

Ukimaliza, weka chumvi juu ya karatasi, kisha kunja karatasi yako ikiwa na chumvi: kunja kama unatengeza sigara, ukimaliza kukunja, funga pande zote chumvi isimwagike, halafu iingize karatasi ile ndani ya chupa ya maji. Ihifadhi chupa hiyo sehemu ambayo si rahisi kufikiwa na watu kwa muda wa siku saba, baada ya hapo unaweza kuitupa. Unaweza kupokea matokeo ndani ya siku saba, au ikachelewa kidogo kulingana na ugumu wa mtu wako, lakini, ndoa itatangazwa. Muhimu, hakikisha unawasiliana nami muda wote kuniambia maendeleo yako.
Mercy akipita hapa nimeisha
 
Vipi nikifanya kwa mama Tha100 itakubali mtaalamu...

Nataka nile uteuzi
 
Zingatia kwamba, unayemfanyia haya si mume wa mtu, kwani anaweza akatelekeza familia yake na kukufuata wewe.

Hii ni kwa mwanamke ambaye yupo kwenye mahusiano na mwanaume. Katika mahusiano yenu, unaona kabisa hakuna dalili za ndoa. Dawa hii itasaidia kufanya mwanaume huyu akuoe na siyo kuishia kukuchezea.

Wapo mabinti ambao mna mahusiano na zaidi ya mtu mmoja. Mnaruhusiwa kufanya dawa hii, lakini muhimu ni kwamba, kila mmoja umfanyie kwa wakati wake, usiwachanganye wote pamoja.

Unaweza kufanya dawa hii peke yako, au unaweza kusaidiwa kwa kuwasiliana nami.

MAHITAJI YA DAWA
Chumvi ya dukani kijiko kimoja.

karatasi nyeupe isiyokuwa na mistari.

Maji lita moja.

KAMA KILA KITU KIPO TAYARI, SASA FANYA HAYA:

Andika jina la mtu unayemtaka kwa herufi kubwa katika karatasi. Chini ya jina, andika unachotaka kutoka kwa huyo mtu kwa herufi kubwa. Kwa mfano unaweza kuandika: MAIGE JUMA, NIPENDE UNIOE, NATAKA NDOA KWAKO, USIISHIE KUNICHEZEA, PATA MOYO WA KUNIOA, TUISHI PAMOJA.

Ukimaliza, weka chumvi juu ya karatasi, kisha kunja karatasi yako ikiwa na chumvi: kunja kama unatengeza sigara, ukimaliza kukunja, funga pande zote chumvi isimwagike, halafu iingize karatasi ile ndani ya chupa ya maji. Ihifadhi chupa hiyo sehemu ambayo si rahisi kufikiwa na watu kwa muda wa siku saba, baada ya hapo unaweza kuitupa. Unaweza kupokea matokeo ndani ya siku saba, au ikachelewa kidogo kulingana na ugumu wa mtu wako, lakini, ndoa itatangazwa. Muhimu, hakikisha unawasiliana nami muda wote kuniambia maendeleo yako.
Kuna mtu akiiona hii nmekwishaa
 
hakuna sehemu inaongelea idadi ya wanawake wa kuoa katika hivo vifungu
check context ya kinachoongelewa
Yakobo mwenyewe baba wa taifa takatifu alikuwa nao wanne
Samweli nabii baba yake alikuwa nao wawili
Ibrahim alikuwa nao wawili

Mkuu tunakoelekea itakuwa LIGI.

Hapo juu kuna mwamba umemdai andiko mi nmekupa.
Swali… Nami naomba andiko kutoka kwenye Biblia linalosema waume tuoe wake wa3?

Swali… Kati ya Mungu, Yakobo, Daudi na Ibrahimu ni nani aliye mkuu?

Mkuu… Hivi unajua kuwa hata mvuta BANGI huisifia BANGI kwa7b ina mnufaisha.

Vilevile hata ww kuna upande unauvutia ili ujinufaishe.

Hapo juu andiko lipo wazi, kwamba hapo mwanzo Mungu alimuumba mtu MUME na mtu MKE, hao wawili wakawa mwili mmoja.

Sasa unataka kuniambia Mungu amezidiwa maarifa na hao watu ulio wataja hapo juu ambao walioa wake wengi, kwa kumpa Adamu mke mmoja?
 
Mungu aendelee kuniepusha na mapenzi yakufosi
 
Wewe asikudanganye mtu heshima, uti na kufanya majukumu yako kama mke lazima mume atakupenda2
 
Back
Top Bottom