Dawa ya kumfanya mwanaume akupende na hatimaye akuoe

Dawa ya kumfanya mwanaume akupende na hatimaye akuoe

sioni chochote hapo unapo quote
Hujasoma na hata kama umesoma basi umesoma kama gazeti.

Hii ina maana gani hapa?.

1 Corinthians 7
2. Lakini kwa sababu ya zinaa kila mwanamume na awe na mke wake mwenyewe, na kila mwanamke na awe na mume wake mwenyewe.

3. Mume na ampe mkewe haki yake, na vivyo hivyo mke na ampe mumewe haki yake.
 
Hujasoma na hata kama umesoma basi umesoma kama gazeti.

Hii ina maana gani hapa?.

1 Corinthians 7
2. Lakini kwa sababu ya zinaa kila mwanamume na awe na mke wake mwenyewe, na kila mwanamke na awe na mume wake mwenyewe.

3. Mume na ampe mkewe haki yake, na vivyo hivyo mke na ampe mumewe haki yake.
kwamba Paulo ameleta amri mpya ambayo haikuwepo au unataka kuniambia nini mkuu
before paulo ilikuwaje?
usifikiri sielewi hicho kifungu mkuu
ukikisoma kwa kiingereza ndo kinaleta maana kwamba her own husband . huwezi kusema ni her own endapo wapo wengi
issue ni kwamba agano lote la kale manabii na wafalme walikuwa na mitala yaani walioa wake wengi. hakuna sehemu mtu kakemewa, na walikuwa wanaongea na Mungu, yaani Mungu alikuwa anaongea nao
mfano ni Ibrahim, mwingine ni Yakobo ambaye alioa wamama wawili kwa mjomba wake
why gafla iwe dhambi
 
Kwenye mahusiano hakuna haja ya kutumia nguvu za kichawi ili kuoelewa, kama kuolewa kupo tu na kama hakuna kuolewa hakuna tu.
 
Dawa ya kitoto sana 😂🤣

Embu kajifundishe dawa Kwa wasukuma za mapenzi mvuto ujue vizimba.
 
Dawa ya kitoto sana 😂🤣

Embu kajifundishe dawa Kwa wasukuma za mapenzi mvuto ujue vizimba.
Mimi ni msukuma kutoka Gamboshi. Mambo madogo kama haya ya kuolewa wala hayahitaji dhana kubwa, ni manuizo tu. Nimefurahi kuona kwamba unawakubali wasukuma kwa dawa zao, safi kabisa.
 
Wewe utakuwa saaangoma a.k.a mchawi😂
Mimi ni mchawi, sangoma... mchawi na sangoma walewale tu, lakini mchawi mwema. Situmii uchawi wangu kudhuru watu. Natumia kuwaelimisha. Mfano, uchawi niliofundisha katika uzi huu lengo hasa ni kumsaidia binti asiendelee kupotezewa muda bali aolewe haraka kwani pengine labda yupo katika mahusiano hayo kwa lengo la kusaka ndoa na pengine ameahidiwa hivyo. Pia, napokea jumbe nyingi PM, ambako pamefurika kwelikweli. Ambapo sasa kumbe hata kuolewa napo kuna changamoto. Wanasema niwafundishe wafanye nini ili kuwatuliza waume zao. Sina hakika kama mizimu itaendelea kuniruhusu niendelee kushika simu, lakini ikiendelea kuniruhusu, nitaleta somo. Ngw'ana wi Samva naondoka.
 
Mabint andikeni

EMBEZZLER DISASTER nataka ndoa. Mimi Ni mrahisi mmno.
 
Zingatia kwamba, unayemfanyia haya si mume wa mtu, kwani anaweza akatelekeza familia yake na kukufuata wewe.

Hii ni kwa mwanamke ambaye yupo kwenye mahusiano na mwanaume. Katika mahusiano yenu, unaona kabisa hakuna dalili za ndoa. Dawa hii itasaidia kufanya mwanaume huyu akuoe na siyo kuishia kukuchezea.

Wapo mabinti ambao mna mahusiano na zaidi ya mtu mmoja. Mnaruhusiwa kufanya dawa hii, lakini muhimu ni kwamba, kila mmoja umfanyie kwa wakati wake, usiwachanganye wote pamoja.

Unaweza kufanya dawa hii peke yako, au unaweza kusaidiwa kwa kuwasiliana nami kwa KUGUSA HAPA

MAHITAJI YA DAWA
Chumvi ya dukani kijiko kimoja.

karatasi nyeupe isiyokuwa na mistari.

Maji lita moja.

KAMA KILA KITU KIPO TAYARI, SASA FANYA HAYA:

Andika jina la mtu unayemtaka kwa herufi kubwa katika karatasi. Chini ya jina, andika unachotaka kutoka kwa huyo mtu kwa herufi kubwa. Kwa mfano unaweza kuandika: MAIGE JUMA, NIPENDE UNIOE, NATAKA NDOA KWAKO, USIISHIE KUNICHEZEA, PATA MOYO WA KUNIOA, TUISHI PAMOJA.

Ukimaliza, weka chumvi juu ya karatasi, kisha kunja karatasi yako ikiwa na chumvi: kunja kama unatengeza sigara, ukimaliza kukunja, funga pande zote chumvi isimwagike, halafu iingize karatasi ile ndani ya chupa ya maji. Ihifadhi chupa hiyo sehemu ambayo si rahisi kufikiwa na watu kwa muda wa siku saba, baada ya hapo unaweza kuitupa. Unaweza kupokea matokeo ndani ya siku saba, au ikachelewa kidogo kulingana na ugumu wa mtu wako, lakini, ndoa itatangazwa. Muhimu, hakikisha unawasiliana nami muda wote kuniambia maendeleo yako.
Mhhhh
 
Back
Top Bottom