Dawa ya kumfanya mwanaume akupende na hatimaye akuoe

sioni chochote hapo unapo quote
Hujasoma na hata kama umesoma basi umesoma kama gazeti.

Hii ina maana gani hapa?.

1 Corinthians 7
2. Lakini kwa sababu ya zinaa kila mwanamume na awe na mke wake mwenyewe, na kila mwanamke na awe na mume wake mwenyewe.

3. Mume na ampe mkewe haki yake, na vivyo hivyo mke na ampe mumewe haki yake.
 
kwamba Paulo ameleta amri mpya ambayo haikuwepo au unataka kuniambia nini mkuu
before paulo ilikuwaje?
usifikiri sielewi hicho kifungu mkuu
ukikisoma kwa kiingereza ndo kinaleta maana kwamba her own husband . huwezi kusema ni her own endapo wapo wengi
issue ni kwamba agano lote la kale manabii na wafalme walikuwa na mitala yaani walioa wake wengi. hakuna sehemu mtu kakemewa, na walikuwa wanaongea na Mungu, yaani Mungu alikuwa anaongea nao
mfano ni Ibrahim, mwingine ni Yakobo ambaye alioa wamama wawili kwa mjomba wake
why gafla iwe dhambi
 
Kwenye mahusiano hakuna haja ya kutumia nguvu za kichawi ili kuoelewa, kama kuolewa kupo tu na kama hakuna kuolewa hakuna tu.
 
Dawa ya kitoto sana 😂🤣

Embu kajifundishe dawa Kwa wasukuma za mapenzi mvuto ujue vizimba.
 
Dawa ya kitoto sana 😂🤣

Embu kajifundishe dawa Kwa wasukuma za mapenzi mvuto ujue vizimba.
Mimi ni msukuma kutoka Gamboshi. Mambo madogo kama haya ya kuolewa wala hayahitaji dhana kubwa, ni manuizo tu. Nimefurahi kuona kwamba unawakubali wasukuma kwa dawa zao, safi kabisa.
 
Wewe utakuwa saaangoma a.k.a mchawi😂
Mimi ni mchawi, sangoma... mchawi na sangoma walewale tu, lakini mchawi mwema. Situmii uchawi wangu kudhuru watu. Natumia kuwaelimisha. Mfano, uchawi niliofundisha katika uzi huu lengo hasa ni kumsaidia binti asiendelee kupotezewa muda bali aolewe haraka kwani pengine labda yupo katika mahusiano hayo kwa lengo la kusaka ndoa na pengine ameahidiwa hivyo. Pia, napokea jumbe nyingi PM, ambako pamefurika kwelikweli. Ambapo sasa kumbe hata kuolewa napo kuna changamoto. Wanasema niwafundishe wafanye nini ili kuwatuliza waume zao. Sina hakika kama mizimu itaendelea kuniruhusu niendelee kushika simu, lakini ikiendelea kuniruhusu, nitaleta somo. Ngw'ana wi Samva naondoka.
 
Mabint andikeni

EMBEZZLER DISASTER nataka ndoa. Mimi Ni mrahisi mmno.
 
Mhhhh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…