Dawa ya kumrudisha mpenzi, mume/mke mliyeachana inawezekana kweli?

Mkoje kihisia? Dadavua kidogo nitakuelewa angalau hints tano tuuu tafadhali, angalau wewe unajielezea angalau kidogo hao viumbe wengine mmmh si romantic kabisaaa!
 
Bora hata wew hujaona sababu. Mi dem alinifanya kitu mbaya acha tu. Mana alianza kunikosoa vitu vya ajabu, mara usipake mafuta flan sipendi harufu yake, leo hujachana cjui na vitu vya ovyoooo. Mwisho wa siku napiga simu linapokea dume, nikalitukana na ndo kuanzia hapo nikamtema demu. Kufatilia kumbe kashobokea PASSO ya mkopo... Sikuumia kwa sababu nyingi tu nilizonazo mf. Saiv simlipii kodi ya nyumba, pesa za saloon sitoi, za kula n.k. Pia I'm handsome nachagua nimtakaye, so what. I'm almost the happiest before then
 
Tatizo liliopo mwenza wako kuna mawili amepata mpya au anaweka mtego wa kukucontrol baadae. Kama utataka nitakusaidia njia ya kumrejesha ila sio kwa uganga pia kwenye hii njia kuna kumrejesha na kumpoteza.

Ndukiiiii πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ
 
denis fourplux,

Asante sana kwa ushauri na ubarikiwe[emoji1431] ntayafanyia kazi yote uliyoniambia ndugu yangu!
 

Aisee hongera mkuu
 

Hongera mkuu
 
Nitafute dada, sijui waganga ila nina kaushauri naimani utakusaidia kwa kiasi fulani.
 

Njia ipi hiyo[emoji27]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…