Dawa ya kumrudisha mpenzi, mume/mke mliyeachana inawezekana kweli?

Dawa ya kumrudisha mpenzi, mume/mke mliyeachana inawezekana kweli?

Mkoje kihisia? Dadavua kidogo nitakuelewa angalau hints tano tuuu tafadhali, angalau wewe unajielezea angalau kidogo hao viumbe wengine mmmh si romantic kabisaaa!
Mpenzi wako anafanana na mimi kihisia. Nadhani kunanjia flani ya ku handle watu wa aina yetu wala usijari tutakuelekeza japo hilo la waganga huwa linadunda sana juu yetu na usishangae ukilitumia tu mambo yakawa magumu zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bora hata wew hujaona sababu. Mi dem alinifanya kitu mbaya acha tu. Mana alianza kunikosoa vitu vya ajabu, mara usipake mafuta flan sipendi harufu yake, leo hujachana cjui na vitu vya ovyoooo. Mwisho wa siku napiga simu linapokea dume, nikalitukana na ndo kuanzia hapo nikamtema demu. Kufatilia kumbe kashobokea PASSO ya mkopo... Sikuumia kwa sababu nyingi tu nilizonazo mf. Saiv simlipii kodi ya nyumba, pesa za saloon sitoi, za kula n.k. Pia I'm handsome nachagua nimtakaye, so what. I'm almost the happiest before then
 
Alinikwaza na mimi nilimkwaza ila hazikua sababu zenye mashiko kabisaa kufikia huku na kiupande wangu niliomba msamaha kwa pale nilipokosea tena mapema kabisa baada ya kuona nimemkosea...akawa km amekubali mara aniambie tuachane kuna siku akainsist sana nimuache nikajibu kiunyongr tu sawa maana sikua na jinsi baada ya siku mbili akanitafuta kutaka yaishe na alikosea nikamwambia its okay yameisha....ila tena ghafla hata siku mbili hazijapita ananiambia anaona bora aniache yaani inshort yupo km psycho kuna muda anakua sawa kuna muda anazingua mwisho wa siku ikafikia hapokei cm wala hajibu txts
Tatizo liliopo mwenza wako kuna mawili amepata mpya au anaweka mtego wa kukucontrol baadae. Kama utataka nitakusaidia njia ya kumrejesha ila sio kwa uganga pia kwenye hii njia kuna kumrejesha na kumpoteza.

Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
denis fourplux,

Asante sana kwa ushauri na ubarikiwe[emoji1431] ntayafanyia kazi yote uliyoniambia ndugu yangu!
 
Mapenzi yana run dunia [emoji132] ila mmbo hya bhn n kujiendekeza ila sidhan itakuja tokea siku nikaenda kwa mganga kurudisha mpenzi kama hatak tuelewane bas kama mbaya mbaya na pia dada Kimbisa hayo mawazo hebu jitahd uyaache maana mawazo yanaua ujue ila kwa mambo mengne mm sina msaa mm mapenz kwangu huwa n ya kigumu hta nilienae nampenda lkn hajui

Sent using Jamii Forums mobile app

Aisee hongera mkuu
 
Bora hata wew hujaona sababu. Mi dem alinifanya kitu mbaya acha tu. Mana alianza kunikosoa vitu vya ajabu, mara usipake mafuta flan sipendi harufu yake, leo hujachana cjui na vitu vya ovyoooo. Mwisho wa siku napiga simu linapokea dume, nikalitukana na ndo kuanzia hapo nikamtema demu. Kufatilia kumbe kashobokea PASSO ya mkopo... Sikuumia kwa sababu nyingi tu nilizonazo mf. Saiv simlipii kodi ya nyumba, pesa za saloon sitoi, za kula n.k. Pia I'm handsome nachagua nimtakaye, so what. I'm almost the happiest before then

Hongera mkuu
 
Nitafute dada, sijui waganga ila nina kaushauri naimani utakusaidia kwa kiasi fulani.
 
Tatizo liliopo mwenza wako kuna mawili amepata mpya au anaweka mtego wa kukucontrol baadae. Kama utataka nitakusaidia njia ya kumrejesha ila sio kwa uganga pia kwenye hii njia kuna kumrejesha na kumpoteza.

Ndukiiiii [emoji125]‍♂️[emoji125]‍♂️[emoji125]‍♂️

Njia ipi hiyo[emoji27]
 
Back
Top Bottom