Hayo maganda ya viazi unayatumia vipi?Mie nakula mayai mabich tangu nipo na 20+mpaka sasa nina30+ nina mvi balaaa...hiyo ni ukoo tu..dawa ni kutumia maganda ya viazi lkn uwe mvumilivu siyo jambo la siku moja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo maganda ya viazi unayatumia vipi?Mie nakula mayai mabich tangu nipo na 20+mpaka sasa nina30+ nina mvi balaaa...hiyo ni ukoo tu..dawa ni kutumia maganda ya viazi lkn uwe mvumilivu siyo jambo la siku moja
Unayachemsha kiasi yakishapoa unaoshea nywele yale maji yake hlf unafunga kichwa kwa nusu saa...nenda utube utaonahayo maganda ya viazi unayatumia vipi?
Mkuuu uondoe upeleke wapi...kubali tu muda umefikaWandugu naombeni dawa ya kuondoa mvi kichwani. Kwani nywele zangu zimejaa mvi. Miaka yangu ni 40+ tu. Kama kuna dawa nipeni.
Mviringo...vile vya chipsVIAZI VITAMU AU MVIRINGO?
😂😂, basi nami nasema hiiiiiMi nina age sawa na yako naziangalia zaja nasema hii
Mafuta ya vaidaWandugu naombeni dawa ya kuondoa mvi kichwani. Kwani nywele zangu zimejaa mvi. Miaka yangu ni 40+ tu. Kama kuna dawa nipeni.
Yanapatikana wapiMafuta ya vaida
Kikopo kinarangi ya kijani maandishi meusi
miaka 40 mbona ushakuwa mzee, ziache tu kiongozi kama mimi.Wandugu naombeni dawa ya kuondoa mvi kichwani. Kwani nywele zangu zimejaa mvi. Miaka yangu ni 40+ tu. Kama kuna dawa nipeni.
Mvi pambo la uzeeni.miaka 40 mbona ushakuwa mzee, ziache tu kiongozi kama mimi.
watu sijui kwa nini hawazipendi....wakati umri mkubwa kuanzia 60 + hivi ndiyo vitu vya kukufanya ujisikie fahari kubwa maishani kwakoMvi pambo la uzeeni.
Maduka hasa ya kwenye masoko hata kariakooYanapatikana wapi
Sasa matusi ya nini? Au unadhani humu ni FBAseee!! Anza kupaka picco ukishindwa upambane na hali yako choko we!
Wandugu naombeni dawa ya kuondoa mvi kichwani. Kwani nywele zangu zimejaa mvi. Miaka yangu ni 40+ tu.
Pole, mimi nina hamu nazo kweli yani. Nazipenda sana. Halafu natamani kuona huku chini kukijaa mvi kunakuwaje
Kweli mafuta ya veiYanapatikana wapi
Hata Mimi natumia. Maduka ya vipodozi ulizia kikopo elfu 5Maduka hasa ya kwenye masoko hata kariakoo