Dawa ya nywele zilizokazwa sana ni nini?

Dawa ya nywele zilizokazwa sana ni nini?

Kalpana

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2017
Posts
32,603
Reaction score
62,269
Jamani hapa nataka nifumue ila hela yangu inauma, lakini naumia kila upande haufai kwa kulala, yaani nikilalia paji la uso ndo naona afadhali.

Usiku wa leo ukiisha sitakaa kusuka tena nywele za kuumiza hivi aisee. Au nyie warembo mnazipozaje? Maana!
 
Jamani hapa nataka nifumue ila hela yangu inauma,lakini naumiaa kila upande haufai kwa kulala yani nikilalia paji la uso ndo naona afadhali....

Usiku wa leo ukiisha sitakaa kusuka tena nywele za kuumiza hivi aisee. Au nyie warembo mnazipoozaje? Maana
Pole mrembo,mi huwa naona mke wangu anapaka mafuta ya mgando,siku ya kwanza
kuanzia siku ya pili zinapoa maisha yanaendelea.
urembo ni kuvumilia.
 
Jamani hapa nataka nifumue ila hela yangu inauma,lakini naumiaa kila upande haufai kwa kulala yani nikilalia paji la uso ndo naona afadhali....

Usiku wa leo ukiisha sitakaa kusuka tena nywele za kuumiza hivi aisee. Au nyie warembo mnazipoozaje? Maana
Tumia Vivian gel

Pole
 
Pole mrembo,mi huwa naona mke wangu anapaka mafuta ya mgando,siku ya kwanza
kuanzia siku ya pili zinapoa maisha yanaendelea.
urembo ni kuvumilia.
Kweli ngoja nipake tena labda zitapoa. Nivumilie tuu usiku uishe
 
Eeh mshaanza kukazana hadi kwenye nywele..........maendeleo hayana chama
 
Umesuka nywele gani?

Kusuka nywele zinazouma namna hiyo hata kukatika nywele ni rahisi
Ni nyuzi ndefuu zile neneee kwanza chache tuu labda ndo maana zinauma sana
 
  • Thanks
Reactions: ABJ
Jamani hapa nataka nifumue ila hela yangu inauma,lakini naumiaa kila upande haufai kwa kulala yani nikilalia paji la uso ndo naona afadhali....

Usiku wa leo ukiisha sitakaa kusuka tena nywele za kuumiza hivi aisee. Au nyie warembo mnazipoozaje? Maana
Ulitumwa kusuka?
 
Back
Top Bottom