Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi nywele zenu za kuvuta kama mnataka kung'oa kichwa zinaharibu sana uoto wa nywele hadi mnapata vipara temporary.Kipara kwa sbb ya kusuka?.
Paka ile Diclopar ya tubeJamani hapa nataka nifumue ila hela yangu inauma, lakini naumia kila upande haufai kwa kulala yani nikilalia paji la uso ndo naona afadhali....
Usiku wa leo ukiisha sitakaa kusuka tena nywele za kuumiza hivi aisee. Au nyie warembo mnazipoozaje? Maana
Mm sipendi kuvutwa ila leo ndo nimepatikana. Kuna video moja mdada wa naigeria amevutwa nywele yani wakigusa analia kwa yowe nilimshangaa nikasema huyu mbona chizi unasukwaje nywele za hivyo. Mm zangu za kawaida tuu sijui mkono wake mchungu lol.Hizi nywele zenu za kuvuta kama mnataka kung'oa kichwa zinaharibu sana uoto wa nywele hadi mnapata vipara temporary.
Yaani ile pale ungeiwahi mapema tu,,haziumi kabisa ukishapaka.Diclopar sina mpendwa mpk kesho
Labda nikapashe maji moto nijikande
Kila la kheri. Mie kusuka tena nehiiii.Mm nilikua nimenyoa nimeanza tena kusuka. Ila duu ngoja nitazitwist tuu kienyeji nikae nazo nisihangaike kusuka
Naaam!Sharti upige yowe!😂Ndonya kama ya kigogo unapachikwa chuma ya moto
Usisahau na wengine walithubutu Hadi kuchemsha mafuta ya mawese na kujipaka usoni ikiwa nia ni kujichubua.Ilienda sambamba na kutumia sabuni za mkorogo kama JARIBU,MEKAKO nk.Bila kusahau kupaka nywele kitu iliitwa ZAZUU.Mna mambo mazito ninyi.😂😂😂😂Umenikumbusha wakati tunakua kina mama walikua wanapasha machanuo ya chuma moto wanapitisha kwny nywele eti zilainike ila wanawake tuna kazi sana
Thanx kwa ushauri mkuu.Pana mafuta yanaitwa MpL yanapatikana saba saba Kariakoo hayo ni medicated na pia kwa wale wenye matatizo ya mba au mtu yeyote anaetaka kutumia mafuta ya nywere mazuri basi hayo ni mafuta mimi nimeyapitisha mafuta kwa ajili ya Ngozi ni Nivea sema sio ya Nairobi tumia Nivea ya made Humburg,Spain au SA hiyo nivea ya Nairobi kopo linang'aa tuu ukitumia kama wametwanga mihogo harafu inatengeneza chunusi kwa watumiaji...ni hayo tuu