Dawa ya nywele zilizokazwa sana ni nini?

Dawa ya nywele zilizokazwa sana ni nini?

Kumbe za nyuzi.......🙆🙆🙆 nywele za Uzi mhhh mim hapana nishawai kusukwa nkaanza kulia saloon nzima wananicheka.
Kwanza nlihama kabisa hyo saloon
Nyuzi inauma aisee mpk ukalia 😆
 
Jamani hapa nataka nifumue ila hela yangu inauma, lakini naumia kila upande haufai kwa kulala yani nikilalia paji la uso ndo naona afadhali....

Usiku wa leo ukiisha sitakaa kusuka tena nywele za kuumiza hivi aisee. Au nyie warembo mnazipoozaje? Maana
chukua Pole my dear, tumia lidocaine spray, zinapaticana kwenye pharmacy
 
Jamani hapa nataka nifumue ila hela yangu inauma, lakini naumia kila upande haufai kwa kulala, yaani nikilalia paji la uso ndo naona afadhali.

Usiku wa leo ukiisha sitakaa kusuka tena nywele za kuumiza hivi aisee. Au nyie warembo mnazipozaje? Maana!

Nyuzi huwa na tabia ya kukaza baada ya kusuka. Chemsha maji yapate moto kiasi, chukua taulo loweka kwenye hayo maji, kamua kiasi then jifunge kichwan ule mvuke uingie kwenye nywele, rudia zoezi mara kadhaa then acha. Inasaidia kulegeza
 
Jamani hapa nataka nifumue ila hela yangu inauma, lakini naumia kila upande haufai kwa kulala, yaani nikilalia paji la uso ndo naona afadhali.

Usiku wa leo ukiisha sitakaa kusuka tena nywele za kuumiza hivi aisee. Au nyie warembo mnazipozaje? Maana!
Dawa yake ni mkasi hakika zitapoa hapohapo
 
Mimi mke wangu asije siku kuanza kunilalamikia usiku kwamba nywele zinamuuma sijui nini.

Nitamuwasha kofi hatokaa anisahau.

Akisuka nywele zikiuma aumwe kimyakimya.
 
Mimi mke wangu asije siku kuanza kunilalamikia usiku kwamba nywele zinamuuma sijui nini.

Nitamuwasha kofi hatokaa anisahau.

Akisuka nywele zikiuma aumwe kimyakimya.
Tuliza munkari we bwa shee unadhani huo udikteta wako wanaume wote wanao? Halafu kuwa mkali mkali unadhani ndo uanaume? Nyie ndo wanaume mnajisemeshaga humu kwny mitandao ila huko makwenu mnabamizwa na wake zenu.
 
Mimi mke wangu asije siku kuanza kunilalamikia usiku kwamba nywele zinamuuma sijui nini.

Nitamuwasha kofi hatokaa anisahau.

Akisuka nywele zikiuma aumwe kimyakimya.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ni nyuzi ndefuu zile neneee kwanza chache tuu labda ndo maana zinauma sana
[emoji1]sina hamu na hizo nywele niliwahi suka zilikaa wiki nikatoa nilikuwa naionea huruma hela yangu

Pole sana
 
Tuliza munkari we bwa shee unadhani huo udikteta wako wanaume wote wanao? Halafu kuwa mkali mkali unadhani ndo uanaume? Nyie ndo wanaume mnajisemeshaga humu kwny mitandao ila huko makwenu mnabamizwa na wake zenu.

Sad story ni kwamba huwa sientertain vitu vya kijinga jinga.

I'm very humble person, ila mwanamke akishaleta vitu vya kijingajinga atanijua.

Yaani mtu asuke kwa starehe zake, kichwa kimuume aanze kunisumbua, atanijua vzr.

Ndio yale unatoka mke amevaa high heels akianza kushindwa kutembea, kimya kimya avue viatu aweke kichwani. Otherwise nitamnyoosha.

Mambo ya kuleana kijinga huwa sientertain.
 
MRembo jaribu kwenda kwenye saluni zinazoelewaka achana na kina mwajuma na ususi wao watauukiwa na ususi wao
 
Sad story ni kwamba huwa sientertain vitu vya kijinga jinga.

I'm very humble person, ila mwanamke akishaleta vitu vya kijingajinga atanijua.

Yaani mtu asuke kwa starehe zake, kichwa kimuume aanze kunisumbua, atanijua vzr.

Ndio yale unatoka mke amevaa high heels akianza kushindwa kutembea, kimya kimya avue viatu aweke kichwani. Otherwise nitamnyoosha.

Mambo ya kuleana kijinga huwa sientertain.
Hyo ni wewee babu wee
 
Back
Top Bottom