EEX
JF-Expert Member
- Oct 19, 2014
- 3,781
- 12,091
Saaafi kabisa mwekundu wa msimbazi.Nimeshazimwagia,nimejaribu kuzilegeza legeza na nimepaka mafuta tena ila badooo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Saaafi kabisa mwekundu wa msimbazi.Nimeshazimwagia,nimejaribu kuzilegeza legeza na nimepaka mafuta tena ila badooo
Polee sana ,unakunywa ? Ujivuruge kichwa.Nimepatikana naonea watu raha hapa wanakoroma. Wkt unasukwa haziumi ila ukishapanda kitandani uwiii
Nilikua nimenyoa sema mr hapendi ninyoe anasema yy anyoe na mm ninyoe? ndo nimeanza kusuka bado fupi fupi maybe zikikua ntaweka tena dawa.Mimi nakushauri uwe una nyoa tu dada yangu au nywele yako unaitia wave au kali kitiki au curry cream zile sijui unapendeza fresh tu pole
Ndio maana wanawake wengi mnakua na vipara mkizeekaJamani hapa nataka nifumue ila hela yangu inauma, lakini naumia kila upande haufai kwa kulala yani nikilalia paji la uso ndo naona afadhali....
Usiku wa leo ukiisha sitakaa kusuka tena nywele za kuumiza hivi aisee. Au nyie warembo mnazipoozaje? Maana
FumuaNimeshazimwagia,nimejaribu kuzilegeza legeza na nimepaka mafuta tena ila badooo
Yaani hujui?Kipara kwa sbb ya kusuka?.
Sijawahi kukazwa hivi ndo mara ya kwanzq so siwezi kusuka tena nywele za kuumiza hivi. Mara nyingi mtu akinivuta huwa namwambia mapema sasa huyu leo wakati anasuka wala sijasikia kuvutwa kabisaa ila baadae naona kama siwezi kucheka.... kugeuka...nimeingia kitandani ndo dooooohYaani hujui?
Angalia wengi wanaosuka hasa extensions wanaishia kupungukiwa nywele za pembeni na mwisho sehemu nyingine pia
Ususi Kwa kukaza nywele unaondoa na vishina vya nywele na kufungwa kabisa chance ya kuota tena
Wait for it
Kesho utaamka kichwa kinauma balaaSijawahi kukazwa hivi ndo mara ya kwanzq so siwezi kusuka tena nywele za kuumiza hivi. Mara nyingi mtu akinivuta huwa namwambia mapema sasa huyu leo wakati anasuka wala sijasikia kuvutwa kabisaa ila baadae naona kama siwezi kucheka.... kugeuka...nimeingia kitandani ndo doooooh