Dawa ya nywele zilizokazwa sana ni nini?

Dawa ya nywele zilizokazwa sana ni nini?

Sad story ni kwamba huwa sientertain vitu vya kijinga jinga.

I'm very humble person, ila mwanamke akishaleta vitu vya kijingajinga atanijua.

Yaani mtu asuke kwa starehe zake, kichwa kimuume aanze kunisumbua, atanijua vzr.

Ndio yale unatoka mke amevaa high heels akianza kushindwa kutembea, kimya kimya avue viatu aweke kichwani. Otherwise nitamnyoosha.

Mambo ya kuleana kijinga huwa sientertain.
Umenikumbusha kuna siku nimevaa kiatu kirefu nimeenda church kanisa lilikua mbali kdg ila ni chuo humo humo in campus aiseeee mbona na tembea ilibadilika? Nimefika kanisani hoii nawaza saa ya kurudi itakuwaje niliondoka misa haijaisha nikapita chocho huko nikavua viatu nikakimbia hadi hostel. Kaa na wanawake kistaarabu ndo tushaumbwa hivi acha ubabe 😆 😆 😆
 
Pole cute,Dawa ni kulalia ivoivo la sivyo utakesha nazo three days
 
Umenikumbusha kuna siku nimevaa kiatu kirefu nimeenda church kanisa lilikua mbali kdg ila ni chuo humo humo in campus aiseeee mbona na tembea ilibadilika? Nimefika kanisani hoii nawaza saa ya kurudi itakuwaje niliondoka misa haijaisha nikapita chocho huko nikavua viatu nikakimbia hadi hostel. Kaa na wanawake kistaarabu ndo tushaumbwa hivi acha ubabe 😆 😆 😆
Ha ha haaa...kama nakuona unavyosepa
 
Nikiwaza hizi tabu naghairi kabisa kusuka ni mwendo wa low cut tu. Pole mrembo.
 
Sad story ni kwamba huwa sientertain vitu vya kijinga jinga.

I'm very humble person, ila mwanamke akishaleta vitu vya kijingajinga atanijua.

Yaani mtu asuke kwa starehe zake, kichwa kimuume aanze kunisumbua, atanijua vzr.

Ndio yale unatoka mke amevaa high heels akianza kushindwa kutembea, kimya kimya avue viatu aweke kichwani. Otherwise nitamnyoosha.

Mambo ya kuleana kijinga huwa sientertain.
Kama ni kwenye shughuli za sherehe unataka avae kandambili??
Tunaenda na fasheni babu weee[emoji2]
 
Siku ingine usisuke uzi,tafuta nywele uki-crochet.Kuna styles nyingi zimetoka.
 
Back
Top Bottom