Dawa ya Vumbi la Kongo 'hensha' yapigwa marufuku Tanzania

Dawa ya Vumbi la Kongo 'hensha' yapigwa marufuku Tanzania

Tanzania inashika no . 5 kwa utumiaji wa bangi NA IMEPIGWA MARUFUKI NA SERIKALI, no wonder huo mkongo utaendelea kutapakaa mtaani hizi ni sheria za mdomoni Tu SI AJABU TANZANIA IKATANGAZWA KUWA NAMBA MOJA KWA MATUMIZI YA MKONGO
Mkongo unatokea nchi gani hapa Tanzania ?
 
Huyo labda aliidevelop kwa kuongeza mbwembwe zake.

Vumbi la Congo kasongo Mundende purutu lipo kibao mtaani.

Kuna Energy ya Lubumbashi.

Kuna asali ya kutoka Uturuki.

Kuna Vicks.

Kuna Konyagi na Red bull.

Kuna Jack Daniels mixer na Amarula, aisee list ni ndefu.
Mpaka hapa Kwa nini nisikutunuku Uprofesa wa mambo ya Ganzi mujarabu
 
Kilikufanyaje mbona nlikuwa na mpango wa kunywa weekend hii😀
Jamaa walisema kinaongeza hamu ya tendo la ndoa na kusafisha Damu nikanywa na nikapiga na Kahawa vikombe kadhaa.

Nikahisi kama homa ya ghafla kizunguzungu kikafuatia kichwa kikaanza kuuma kichefuchefu kikaja nikaenda kupima presha....salaaalee..ikabidi nipigwe Dripu

Alkasusu siigusi tena.
 
Back
Top Bottom