Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkongo unatokea nchi gani hapa Tanzania ?Tanzania inashika no . 5 kwa utumiaji wa bangi NA IMEPIGWA MARUFUKI NA SERIKALI, no wonder huo mkongo utaendelea kutapakaa mtaani hizi ni sheria za mdomoni Tu SI AJABU TANZANIA IKATANGAZWA KUWA NAMBA MOJA KWA MATUMIZI YA MKONGO
Kilikufanyaje mbona nlikuwa na mpango wa kunywa weekend hii😀Ndio maana vifo vya ghafla Guest vilikuwa vimeongezeka sana
Kuna hichi kinywaji kinachoitwa Alkasusu nacho kifanyiwe uchunguzi, kidogo kinitoe Roho.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] demu anakuambia kwako ajafuata pesaDadeki na hela sina , nilikua nasema ananipendea show show [emoji3][emoji3][emoji3] sasa wenye nchi yao wamenikomoa wamefuta !!
Hiki kibuti atakachonipiga Hamida mniombee [emoji25]
[emoji25][emoji25][emoji16][emoji16]Duuh...Maskini wale vijana a.k.a Marioo wanaotunzwa na Mashangazi kwasababu ya show za Vumbi la kongo....[emoji23]
Mbona maisha yanaenda kuwa magumu zaidi kwao? Na sasahv hakuna hiyo booster jogoo atainuka na kulala muda huohuo.
japo siyo wote but kuna watengenezaji wengine wa alkasusu wanachanganya na erecto gram 50Ndio maana vifo vya ghafla Guest vilikuwa vimeongezeka sana
Kuna hichi kinywaji kinachoitwa Alkasusu nacho kifanyiwe uchunguzi, kidogo kinitoe Roho.
Mkuu kuanzia leo naanza kupiga zoezi !! Nirudishe nguvu za asili 😀😀😀 nikanunue kamba na raba.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] demu anakuambia kwako ajafuata pesa
Sasa mkiwasema wote watapigwa marufuku 😀😀😀japo siyo wote but kuna watengenezaji wengine wa alkasusu wanachanganya na erecto gram 50
Tumejipanga show show.Duuh...Maskini wale vijana a.k.a Marioo wanaotunzwa na Mashangazi kwasababu ya show za Vumbi la kongo....[emoji23]
Mbona maisha yanaenda kuwa magumu zaidi kwao? Na sasahv hakuna hiyo booster jogoo atainuka na kulala muda huohuo.
Alafu wauzaji kwanini lazima wavae kanzu..?Ndio maana vifo vya ghafla Guest vilikuwa vimeongezeka sana
Kuna hichi kinywaji kinachoitwa Alkasusu nacho kifanyiwe uchunguzi, kidogo kinitoe Roho.
Mpaka hapa Kwa nini nisikutunuku Uprofesa wa mambo ya Ganzi mujarabuHuyo labda aliidevelop kwa kuongeza mbwembwe zake.
Vumbi la Congo kasongo Mundende purutu lipo kibao mtaani.
Kuna Energy ya Lubumbashi.
Kuna asali ya kutoka Uturuki.
Kuna Vicks.
Kuna Konyagi na Red bull.
Kuna Jack Daniels mixer na Amarula, aisee list ni ndefu.
Jamaa walisema kinaongeza hamu ya tendo la ndoa na kusafisha Damu nikanywa na nikapiga na Kahawa vikombe kadhaa.Kilikufanyaje mbona nlikuwa na mpango wa kunywa weekend hii😀