imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Mbinu tu za Biashara ili uwaamini zaidi wakati wa kwenda kukuua.Alafu wauzaji kwanini lazima wavae kanzu..?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbinu tu za Biashara ili uwaamini zaidi wakati wa kwenda kukuua.Alafu wauzaji kwanini lazima wavae kanzu..?
Ndio maana vifo vya ghafla Guest vilikuwa vimeongezeka sana
Kuna hichi kinywaji kinachoitwa Alkasusu nacho kifanyiwe uchunguzi, kidogo kinitoe Roho.
Prof. Masanja hana adabu.Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala Tanzania, limepiga marufuku matumizi ya dawa aina ya Hensha maarufu kama Mkongo kwa binadamu, na kwamba tayari limekwishaifutia usajili baada ya kubaini imechanganywa na dawa za kuongeza nguvu za kiume (Viagra).
Mwenyekiti wa Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala, Prof. Hamisi Masanja Malebo, ametoa kauli hiyo Julai 27, 2022 mjini Morogoro wakati akizungumza na waandishi wa habari.
Profesa Malebo alisema baraza katika uchunguzi wake, lilibaini dawa iitwayo Hensha maarufu Mkongo, yenye usajili namba TZ17TM0027, ilikutwa imechanganywa na dawa ya kisasa ya nguvu za kiume iitwayo sildenafil, kwa jina maarufu la biashara Viagra ama Erecto.
Alisema kitendo hicho ni kinyume cha sheria na miongozo ya usajili wa dawa za tiba asili na mbadala.
Alisema kituo hicho kimetakiwa kuhakikisha kinaiondoa sokoni mara moja dawa hiyo, vinginevyo hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi ya mmiliki.
CHanzo: Habari Leo
Dah sasa vie vibamia ndio tusaha tena kuchakata mbususuSasa wakomoaji watatumia nini vi dushe vitawezana tena
Kibamia nacho kinafaa sanaDah sasa vie vibamia ndio tusaha tena kuchakata mbususu
Labda kwa wanawake flatscreen lakini wenye tako skonsi ukiwaweka dogy style bila de libolo utaishia kojolea makalio tuuKibamia nacho kinafaa sana
Kunywa Konyagi ugonge vizuri acha kumshutumu Mzee wa watuProf. Masanja hana adabu.
Wao kama akina nan?Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala Tanzania, limepiga marufuku matumizi ya dawa aina ya Hensha maarufu kama Mkongo kwa binadamu, na kwamba tayari limekwishaifutia usajili baada ya kubaini imechanganywa na dawa za kuongeza nguvu za kiume (Viagra).
Mwenyekiti wa Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala, Prof. Hamisi Masanja Malebo, ametoa kauli hiyo Julai 27, 2022 mjini Morogoro wakati akizungumza na waandishi wa habari.
Profesa Malebo alisema baraza katika uchunguzi wake, lilibaini dawa iitwayo Hensha maarufu Mkongo, yenye usajili namba TZ17TM0027, ilikutwa imechanganywa na dawa ya kisasa ya nguvu za kiume iitwayo sildenafil, kwa jina maarufu la biashara Viagra ama Erecto.
Alisema kitendo hicho ni kinyume cha sheria na miongozo ya usajili wa dawa za tiba asili na mbadala.
Alisema kituo hicho kimetakiwa kuhakikisha kinaiondoa sokoni mara moja dawa hiyo, vinginevyo hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi ya mmiliki.
CHanzo: Habari Leo
Ni masikitiko Kwakweli upo wakati tutaagiza wanaume nje ya nchi ili tu waturidhishe kimwiliKwa comment hizi inaonekana vijana wengi hali si shwari...
Hii Nchi imeshikwa na Wanawake kwahio Wanaume tuko Utumwani lazima kuwaridhisha wenzetu.Kwa comment hizi inaonekana vijana wengi hali si shwari...