Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
Maisha ni yako ila mazishi ni yetu.Unaelewa maana ya kujimaliza? Kwani tukitumia wewe ambae hutumii inakuhusu vipi?
Endelea na ujuaji wako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maisha ni yako ila mazishi ni yetu.Unaelewa maana ya kujimaliza? Kwani tukitumia wewe ambae hutumii inakuhusu vipi?
Kwani hizo dawa zilikuwa zinafanya kazi kweli?😂😂😂
Kuna ndoa zinaenda kuvunjika hapo, Kama katazo hili litashikiliwa kidete
Kama hutumii tulia. Tunaotumia hatujawahi kulalamikaMaisha ni yako ila mazishi ni yetu.
Endelea na ujuaji wako.
unauliza majibuKwani hizo dawa zilikuwa zinafanya kazi kweli?
Kwanini watu wasiji-train kutumia nguvu asili kama ni kweli ilikuwa inafanya kazi basi kuna watu watapata shida sana
Watajua hawajui 😂😂😂Wanaume wa Dar na vitongoji vyake
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Dadeki na hela sina , nilikua nasema ananipendea show show [emoji3][emoji3][emoji3] sasa wenye nchi yao wamenikomoa wamefuta !!
Hiki kibuti atakachonipiga Hamida mniombee [emoji25]
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Sijapenda, mbona ghafla hivyo kushtukizana?
bidhaa pendwa kama hii wanaifungiaje ghafla hivi[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]