Mengi Ayoub
Member
- Apr 20, 2022
- 56
- 46
😂Mnataka kusema anatumiwa na mabeberuKUHARIBIANA SIKU TU HUKO, HUYU PROFESA NAE ZENGWE TU
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂Mnataka kusema anatumiwa na mabeberuKUHARIBIANA SIKU TU HUKO, HUYU PROFESA NAE ZENGWE TU
Mtajitokeza wengi wahanga wa hili.Wakuu,
Nimepata habari kuwa, vumbi la Kongo limefungiwa.
Hili suala linahitaji kujadiliwa kitaifa.
Vumbi la Kongo limekuwa mkombozi kwa wengi. Kulifungia tu bila kufanya critical analysis ya effects zake ni kosa kubwa.
Tunahitaji kupaza sauti ili vumbi la Kongo lirudi sokoni.
Asantee
Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
😂Na wanavyojua kutembea na fursaVumbi la Congo Limefungiwa Usishangae Vumbi la Msumbiji Likaja Watu Hawapoi na hawaboi.
😃😂 Oo my GodJizaz
😂😂😂Kwa kweli imekuwa ghafla sanaTumekwisha......
Wangetupa muda wa kujiandaa na kutafuta mbadala
Teh teh tehImeshapigwa marufuku sasa umkute mwenzio anamkuja mkeo kisha wewe uinue mkono kumgusa uende jela uache watu wakijigongea mtaani.
Wewe wakati wa babu zako waliijua hii mikongo?mnajiharibu mkiwa hamjui.
SawaKama hutumii tulia. Tunaotumia hatujawahi kulalamika
UloziUko Sahihi kabisa sisi ni wavivu wa kufanya tafiti tumekalia Uchawi zaidi kuliko jambo lolote.
kabisa, yaani kazingua sana😂Mnataka kusema anatumiwa na mabeberu
😂😂kabisa, yaani kazingua sana
😂😂 Yani wakiona vijana wameanza kuwa na furaha kwenye jambo fulani nao wanatia timu ilimradi watu watesekeUkiangalia kwa umakini ni kama serikali imeamu kuacha mambo yake na kufatilia maisha yetu
Hivi Serikali huwezi kuwa bize na mambo yako binafsi?[emoji23][emoji23]
😂😂😂😂 Sio bure kuna mkono wa mabeberuMtajitokeza wengi wahanga wa hili.
Ajira kwa mashangazi inafika ukomo kwa immediately effect
We sema kweliKumbe iyo. Mm nilijua chinsali tunaendelea tu
Na mashangazi naoWanaenda kuharibu maisha ya maslay queen.
Long time mkuuSIKUBALIANI KABISA NA MSHTUKIZO HUU
#FreeMundendeNow
😂😂 Sio jambo la kucheka hiliHahaha, wazee wa puturu kazi mnayo asee!!
🙄🙄Hivi mwanaume timamu au rijali unatumia huo upuuzi ili ugundue nini.
Mnafeli wapi asee, hamjui mazoezi hamjui diet au hivyo mnaviona vigumu,
ndo maana mashosti wanaongezeka kwa fujo.
F*ck it heal the world dear God
Ndio maana vifo vya ghafla Guest vilikuwa vimeongezeka sana
Kuna hichi kinywaji kinachoitwa Alkasusu nacho kifanyiwe uchunguzi, kidogo kinitoe Roho.