Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
NIPO MKUU AISEEE
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NIPO MKUU AISEEE
Kuna hii juice ya uyoga imeshika kasi,nayo waichunguze.Hatari sana, vijana watakosa ajira kwa Mishangazi kwsbb watakuwa hawana madhara tena
Badala ya kuwapelekea moto sasa watawapelekea salamu [emoji23][emoji23][emoji23]
PutururBooster
Sasa wao wakaona wachanganye humo humoHizo viagra ni kwa ajiri ya wagonjwa kama wa kisukari tena inatakiwa wapimwe pressure zao kabla ya kutumia.
E bwana we hiyo ndo naisikia sasaKuna hii juice ya uyoga imeshika kasi,nayo waichunguze.
Arusha ipo sana
Nakuunga mkonoNdio mkuu. Lakini utafiti waliufanyia wakakaa maabara. Wenzetu hawabahatishi. Kumbuka tu ujinga na upuuz wa kikombe Cha babu. Dawa nyingi hata za kisasa zinatoka kwenye mimea, sumu ya nyoka na kadhalika. Lakini tafiti ya muda mrefu.
😂😂😂Roho inaniuma sana lakini kwa nini jamuhuri inatuchokoza hadi huku tena
Wanalialia balaa[emoji23][emoji23][emoji23]Watajua hawajui [emoji23][emoji23][emoji23]
Si bure😂😂😂😂 Sio bure kuna mkono wa mabeberu
Sidenafil huwa si zinamezwa(oral route) sasa kuna connection gani na vumbi ambalo huwa unapaka juu ya uume! Waandishi wa habari kazi yao kuripoti tu bila kuuliza maswal kma haya!!Mkongo umefutiwa usajili na serikali. Kosa ni kuchanganywa na sildenafir, kemikali mama inayotengeneza dawa za kutibu changamoto ya nguvu za kiume maarufu zaidi kwa majina ya kibiashara kama erecto na viagra.
GanziWakuu samahani ,hivi huo mkongo kazi yake ni kufanya uume usimame imara au unakupa ganzi uchelewe kumwaga???
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dadeki na hela sina , nilikua nasema ananipendea show show [emoji3][emoji3][emoji3] sasa wenye nchi yao wamenikomoa wamefuta !!
Hiki kibuti atakachonipiga Hamida mniombee [emoji25]
Hiyo vicks ni hatari Mkuu hukojoi aiseeHuyo labda aliidevelop kwa kuongeza mbwembwe zake.
Vumbi la Congo kasongo Mundende purutu lipo kibao mtaani.
Kuna Energy ya Lubumbashi.
Kuna asali ya kutoka Uturuki.
Kuna Vicks.
Kuna Konyagi na Red bull.
Kuna Jack Daniels mixer na Amarula, aisee list ni ndefu.
Kuna Bundle (Mihogo, nazi, karanga na karoti)Huyo labda aliidevelop kwa kuongeza mbwembwe zake.
Vumbi la Congo kasongo Mundende purutu lipo kibao mtaani.
Kuna Energy ya Lubumbashi.
Kuna asali ya kutoka Uturuki.
Kuna Vicks.
Kuna Konyagi na Red bull.
Kuna Jack Daniels mixer na Amarula, aisee list ni ndefu.
kwani hio dawa hua ni ya kumeza au kupaka ?
unaweza ukapaka viagra ?
watumiaji hebu nisaidieni hapa
Nina tiba mkuu njoo utaleta ushuhudaDadeki na hela sina , nilikua nasema ananipendea show show 😀😀😀 sasa wenye nchi yao wamenikomoa wamefuta !!
Hiki kibuti atakachonipiga Hamida mniombee 😪