Dawa ya Vumbi la Kongo 'hensha' yapigwa marufuku Tanzania

Dawa ya Vumbi la Kongo 'hensha' yapigwa marufuku Tanzania

Hatari sana, vijana watakosa ajira kwa Mishangazi kwsbb watakuwa hawana madhara tena

Badala ya kuwapelekea moto sasa watawapelekea salamu [emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna hii juice ya uyoga imeshika kasi,nayo waichunguze.
Arusha ipo sana
 
Ndio mkuu. Lakini utafiti waliufanyia wakakaa maabara. Wenzetu hawabahatishi. Kumbuka tu ujinga na upuuz wa kikombe Cha babu. Dawa nyingi hata za kisasa zinatoka kwenye mimea, sumu ya nyoka na kadhalika. Lakini tafiti ya muda mrefu.
Nakuunga mkono
 
Mkongo umefutiwa usajili na serikali. Kosa ni kuchanganywa na sildenafir, kemikali mama inayotengeneza dawa za kutibu changamoto ya nguvu za kiume maarufu zaidi kwa majina ya kibiashara kama erecto na viagra.
Sidenafil huwa si zinamezwa(oral route) sasa kuna connection gani na vumbi ambalo huwa unapaka juu ya uume! Waandishi wa habari kazi yao kuripoti tu bila kuuliza maswal kma haya!!
 
Dadeki na hela sina , nilikua nasema ananipendea show show [emoji3][emoji3][emoji3] sasa wenye nchi yao wamenikomoa wamefuta !!

Hiki kibuti atakachonipiga Hamida mniombee [emoji25]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumekuchaaaaaaaaaaah!!
Marioos na vibe10 mkujee huku kuna jambo lenu.
 
Huyo labda aliidevelop kwa kuongeza mbwembwe zake.

Vumbi la Congo kasongo Mundende purutu lipo kibao mtaani.

Kuna Energy ya Lubumbashi.

Kuna asali ya kutoka Uturuki.

Kuna Vicks.

Kuna Konyagi na Red bull.

Kuna Jack Daniels mixer na Amarula, aisee list ni ndefu.
Hiyo vicks ni hatari Mkuu hukojoi aisee
 
Huyo labda aliidevelop kwa kuongeza mbwembwe zake.

Vumbi la Congo kasongo Mundende purutu lipo kibao mtaani.

Kuna Energy ya Lubumbashi.

Kuna asali ya kutoka Uturuki.

Kuna Vicks.

Kuna Konyagi na Red bull.

Kuna Jack Daniels mixer na Amarula, aisee list ni ndefu.
Kuna Bundle (Mihogo, nazi, karanga na karoti)
 
Back
Top Bottom