Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Tumekwisha......
Wangetupa muda wa kujiandaa na kutafuta mbadala
Wangetupa muda wa kujiandaa na kutafuta mbadala
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imeshapigwa marufuku sasa umkute mwenzio anamkuja mkeo kisha wewe uinue mkono kumgusa uende jela uache watu wakijigongea mtaani.unauliza majibu
Nguvu za asili ni zipi? Mcongo sio nguvu za asili?
tena ya kutosha [emoji1787][emoji1787]Mimi Nina stock
Vumbi la Congo Limefungiwa Usishangae Vumbi la Msumbiji Likaja Watu Hawapoi na hawaboi.Mwenyekiti wa Baraza la Tiba asili na Tiba mbadala , Professor Malebo Hamisi amesema Baraza hilo limeifungia dawa inayoitwa Hensha maarufu kama mkongo yenye namba za usajili TZ17TM0027. Professor Malebo amesema dawa hiyo imekutwa imechanganywa na dawa ya kisasa ya nguvu za kiume inayoitwa Sildenafil kwa jina maarufu la biashara ni Viagra na kusema kuwa Baraza litaendelea kuwafungia wote wanaokiuka Sheria. Aidha akasema Ameagiza dawa hiyo iondolewe mara moja sokoni kabla hatua zaidi za kisheria hazijachukuliwa.
Je unalipi la kusema ? Unahisi ni wanaume wa kundi lipi wataathirika zaidi?
View attachment 2305942WATUMIAJI WA MKONGO WAANGUA KILIO
KUHARIBIANA SIKU TU HUKO, HUYU PROFESA NAE ZENGWE TUBaraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala Tanzania, limepiga marufuku matumizi ya dawa aina ya Hensha maarufu kama Mkongo kwa binadamu, na kwamba tayari limekwishaifutia usajili baada ya kubaini imechanganywa na dawa za kuongeza nguvu za kiume (Viagra).
Mwenyekiti wa Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala, Prof. Hamisi Masanja Malebo, ametoa kauli hiyo Julai 27, 2022 mjini Morogoro wakati akizungumza na waandishi wa habari.
Profesa Malebo alisema baraza katika uchunguzi wake, lilibaini dawa iitwayo Hensha maarufu Mkongo, yenye usajili namba TZ17TM0027, ilikutwa imechanganywa na dawa ya kisasa ya nguvu za kiume iitwayo sildenafil, kwa jina maarufu la biashara Viagra ama Erecto.
Alisema kitendo hicho ni kinyume cha sheria na miongozo ya usajili wa dawa za tiba asili na mbadala.
Alisema kituo hicho kimetakiwa kuhakikisha kinaiondoa sokoni mara moja dawa hiyo, vinginevyo hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi ya mmiliki.
CHanzo: Habari Leo
Vumbi la Kongo limekuwa mkombozi kwa wengi. Kulifungia tu bila kufanya critical analysis ya effects zake ni kosa kubwa.
Ndio , ila nafkir Leo ndio watu wamejuaKumbe ilikua verified kabisa.
Hatari kabisaNoma sana!
😂😂😂 WeweMtakunywa pweza hadi msahau kama kuna maji duniani, pumbafu kabisa wote mliowahi kutumia hayo makofii oromide.