Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiwa

Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiwa

Nchi inayoongoza kwa kuamini ktk Majungu, ww fanya yako unapoteza muda na mb zako ktk Majungu.
 
Picha au video ni sawa na maneno elfu moja. Tuwekee hayo maneno elfu moja hapa.
 
.....
......jina la Kamanda wa Anga kutawala vyombo vyote vya habari....wanatangaza Chama bila kujijuwa.....
 
CCM wanajua kujidanganya,

Mnasheherekea mbowe akipelekwa mahabusu Kwa hizi figisu za kisiasa ndiyo atakufa au ??

Hawakamatwi wanasiasa ,wanakamatwa na kuitwa kuhojiwa watuhumiwa wa madawa ya kulevya.Kutuhumiwa si kuhukumiwa.Taratibu zifuatwe kila mmoja alipwe sawa sawa na matendo yake.
 
Kwani taaluma ya polisi imebadili namna ya kufanya kazi??Kwa hiyo siku hizi JAMBAZI atatangazwa kwenye TV na REDIO ndiyo anakamatwa??Hivi huyo Mbowe alikuwa hapo polisi siku aliyotajwa kama anahusika na madawa kwanini Sirro hakumkamata??

Hivi Chuki,visasi na ubaguzi mnadhani mtautibuje ukishaota mizizi??Mnadhani vijana wa upinzani wakiamua kuwachukia kama mnavyofanya mnadhani TAIFA litakuwaje??

Kama TAIFA tulitakiwa tuadvocate AMANI,HAKI na UHURU wa kila RAIA,hili la kumpa mtu kesi ya madawa wakati unajua fika kabisa ni uongo si sahihi kabisa,tuache kufanya siasa za kishenzi na kipumbavu kama hizi.

Tanzania yetu sote,tutaijenga sisi watanzania bila kujali itikadi zetu.Mambo anayoyafanya Rais kupitia wateule wake hayafai kabisa ni kutengeneza chuki ambayo hatoweza kujakuiondoa kamwe.

Vijana wa CCM anzeni kufanya siasa safi sas wakati wa chuki umepitwa na wakati,hujui kesho yako,vyeo vinapita tu
Maneno mengi, utulie tuone mwisho wake kama hana tatizo atarudi mtaani tu mkuu, mbona unaenda mbali sana mshauri kiongozi kuwa cooperative kama yeye ni innocent atabaki kuwa innocent ila hilo halithibitishi politically au emotionally bali technically and proffessionally. Ngoja tuone mwisho wake kwanza..


hii siasa usitumie hisia kufanya kazi za majaji na mkemia
hili la kumpa mtu kesi ya madawa wakati unajua fika kabisa ni uongo si sahihi kabisa
 
Akamatwe tu ili akanyee debe. Na ikibainika ni mhusika ile kwake
 
Atawekwa ndani na kunyimwa dhamana kisha kufunguliwa kesi ya kutoitikia wito!
Awamu hii wapinzani wakae chonjo,mateso yao kwa sinzoje ni furaha

Hii ni sababu ya kesi aliyomfungulia Makamu wa RAIS aka RC wa DAR
 
Anajimalizaje kisiasa mjomba?
Kwani alipewa taarifa kwa maandishi na jeshi la polisi akakahidi?

Au matamshi ya makonda ya kusema uripoti kutuo cha polisi baada ya siku tatu tuhuma yenyewe ikiwa ni madawa ya kulevya?

Kwa wataaluma yuko sahihi juu ya namna alivyokabiriana na jambo hili. Ila kwa sababu lengo lilikuwa ni kumdharilisha basi waendelee na yote haya watanzania tunaona. Shame on our harshly government.
 
Taarifa nilizopata kutoka kwenye chanzo changu cha kuaminika ni kwamba, Mwenyekiti wa CHADEMA, FREEMAN MBOWE ametiwa nguvuni na Jeshi la Polisi baada ya jitihada za kukimbia (Chumvi) na kujificha kushindikana.

Mbowe amekamatwa maeneo ya Mikocheni ambako alienda kujificha (Chumvi) ili asikamatwe na Jeshi la Polisi.

Kwa sasa wapo njiani kuelekea Central ambako atahojiwa kutokana na tuhuma za kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya pamoja na kulisababishia usumbufu na gharama jeshi la polisi.

Taarifa zaidi zinasema kuwa Mbowe amekamatwa akitolewa kwenye Appartment Moja kwenda nyingine akitumia gari Nyeusi, Tinted yenye namba za usajili T 830 DEW aina ya VX. Wamemkamata akiwa nje ya geti ya Appartment hiyo ambayo ni miongoni mwa majengo ya siri ( Safe House) yanayomilikiwa na CHADEMA
Habari bana zikiletwa humu na Ma-Lumumba basi Chumvi kibaooooooooo mpaka wanaharibu ladha.
Yaani habari kama inakua inaripotiwa kwenye kipindi cha leo tena, umbea umbea mwingiiiii hata hatujui ulikua unamaanisha nini.
 
Taarifa nilizopata kutoka kwenye chanzo changu cha kuaminika ni kwamba, Mwenyekiti wa CHADEMA, FREEMAN MBOWE ametiwa nguvuni na Jeshi la Polisi baada ya jitihada za kukimbia na kujificha kushindikana.

Mbowe amekamatwa maeneo ya Mikocheni ambako alienda kujificha ili asikamatwe na Jeshi la Polisi.

Kwa sasa wapo njiani kuelekea Central ambako atahojiwa kutokana na tuhuma za kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya pamoja na kulisababishia usumbufu na gharama jeshi la polisi.

Taarifa zaidi zinasema kuwa Mbowe amekamatwa akitolewa kwenye Appartment Moja kwenda nyingine akitumia gari Nyeusi, Tinted yenye namba za usajili T 830 DEW aina ya VX. Wamemkamata akiwa nje ya geti ya Appartment hiyo ambayo ni miongoni mwa majengo ya siri ( Safe House) yanayomilikiwa na CHADEMA
Ahaa jinsi ilivyoaandikwa kishabiki inakuwa vigumu hata kuamini kama habari ni ya kweli..
 
Back
Top Bottom