Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
angeenda wiki iliyopita angeokoa muda. Kama mwananchi wa kwaida anachukuliwa mtaani anakwenda kuisaidia polisi Huyu kiongozi wa wananchi anashindwaje kujitolea asaidie kuwa mfano kwa maelfu ya wananchi wanaoangamia na kuteketea kwa madawa. hayo mengine ni hisia zako tu mkuuMbowe hana tuhuma zozote,chuki za matajiri zinawasumbua sana utawala wa awamu ya tano lakini mwisho wa siku matatamani Dunia iapsuke mwingie ndani yake??
Mmefanya haya sababu ya kesi ya kesho ili muikimbie,na hamtaikimbia.
Ila ni hatari waweza askari kuja na mizinga na vifaru na mabomu wakapiga ulipojificha kwa kuwa hawajui una nini huko ndani ulikojificha.Ni hatari kubwa kuliko kujisalimishamashujaa na majasiri hawajipelekagi wenyewe polisi hata siku moja. ni kazi ya polisi kuwatafuta.
Waziri hawezi kuuza Nyumba za Serikali bila uamuzi wa baraza la mawaziri, muulize mwenyekiti wa barazaVipi hao polisi watamchukulia lini hatua yule aliyeuza nyumba za serikali alipikuwa waziri?
Ohooooo!!!CCM ni laana ya taifa hili
akipimwa akakutwa anatumia madawa atolewe uenyekiti, Akiendelea maana yake ni kivutio kwa vijana wa chadema kufuata njia na taifa kuwa la wagonjwa. Haki itendeke tusijifiche kwenye huruma za wananchiUmemjibu vyema. Kwa sababu unabwia unga usikamatwe kisa unaowahisi bila ushahidi hawajakamatwa?
Impossible!Najaribu kuwaza siku CDM ikichukua Nchi......kwa hayo manyanyaso wanayopitia hawa watesi wao wataenda kujificha wapi?
Nimemshangaa sana kwa hili walahi!Asa anajificha nn? Mbowe nae wasela wawakimbie police na yeye! Kweli mamwera noma
HahahahaHicho ndicho alikuwa anakiogopa na kujificha.Mcheki midomo tu utajua kama anatumia au hatumii.
Hii nayo ni siasa tu! Unamsamon mtu kwa kutumia runinga wakati namba yake ya simu unayo, ofisini na nyumbani kwake unakujua? Hii nayo ni siasa tu.Hakuhusishwa na dawa za kulevya Mandela usimlinganishe na Mbowe.Mandela alihesabiwa kama mhaini wa kisiasa sio wa madawa ya kulevya.
CCM ni laana ya taifa hili