Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiwa

Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiwa

Kwa bahati nzuri watanzania,wana akili za kujitambua,,,,,,wanajua kila hila na maonevu yanapo fanyika.
 
Unyanyasaji uko pale pale.Mkimaliza miaka mitano kwenye kampeni mtatuambia mlikuwa mnakimbizana na Upinzani
Mbowe ilibidi awe mfano wa jamii kwa kufuata sheria halali za Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania...
 
Hata kama sio kweli Mbowe atajificha hadi lini?
Hao wanasheria wake wanampotosha tu,kufungua kesi ya kikatiba hakukupi kinga ya kuitwa polisi na kushtakiwa kwa makosa ya jinai.
Anavyozidi kuogopa polisi anakuwa hana tofauti na Osama Bin Laden
 
Taarifa nilizopata kutoka kwenye chanzo changu cha kuaminika ni kwamba, Mwenyekiti wa CHADEMA, FREEMAN MBOWE ametiwa nguvuni na Jeshi la Polisi baada ya jitihada za kukimbia na kujificha kushindikana. Mbowe amekamatwa maeneo ya Mikocheni ambako alienda kujificha ili asikamatwe na Jeshi la Polisi. Kwa sasa wapo njiani kuelekea Central ambako atahojiwa kutokana na tuhuma za kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya pamoja na kulisababishia usumbufu na gharama jeshi la polisi.

Taarifa kamili itawajia hivi punde
My main concern and worries ni kwa huyo wanayemwita mkemistry mkuu wa sirikali. Wasije wakalazimisha vipimo visome post badala ya nega
 
Kwa mtazamo wa makaburu wakati ule Mandela alikuwa mhalifu tena haini. Kwa makaburu weusi wa hapa tz mbowe ni mhalifu.
Hakuhusishwa na dawa za kulevya Mandela usimlinganishe na Mbowe.Mandela alihesabiwa kama mhaini wa kisiasa sio wa madawa ya kulevya.
 
Taarifa nilizopata kutoka kwenye chanzo changu cha kuaminika ni kwamba, Mwenyekiti wa CHADEMA, FREEMAN MBOWE ametiwa nguvuni na Jeshi la Polisi baada ya jitihada za kukimbia na kujificha kushindikana. Mbowe amekamatwa maeneo ya Mikocheni ambako alienda kujificha ili asikamatwe na Jeshi la Polisi. Kwa sasa wapo njiani kuelekea Central ambako atahojiwa kutokana na tuhuma za kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya pamoja na kulisababishia usumbufu na gharama jeshi la polisi.

Taarifa kamili itawajia hivi punde
UPINZANI wa kisiasa si UBAGUZI
hicho unachokiendeleza wewe ni UBAGUZI na utakutafuna tu.
Kumbuka wakimalizwa CHADEMA
Watafuata CCM asilia vs nyie CCM Bk 7 nk
 
Inatakiwa tujue hatima ya mbowe haipo polisi,Bali mahakamani,labda kama kuna hakimu humu ashauri
 
Vipi makamanda wanaenda kupiga music central kama alivyofanya manji? hahahah, chezea polisi wewe!
 
Whatever the case the opposition will never day so easily badala yake wanamwagilia maji ya ziwa victoria na mbolea ya Ng'ombe wa asili
 
tusubirie tujue alikaidije agizo la polisi, polisi watakuwa na kazi ya kuthibitisha kwamba walimuita na akakataa
Kwa hili la Mbowe kukaidi agizo la Polisi hakika anajimaliza mwenyewe
 
Inatakiwa tujue hatima ya mbowe haipo polisi,Bali mahakamani,labda kama kuna hakimu humu ashauri
Sasa yuko chini ya Muhimili mwingine , huko Mahakamani watakuja kumkamata Makonda aliyeshitakiwa. Ngoja kwanza akanyee Debe Central. Kerewiii, Mangi wa watu
 
Tatizo la mawakili wa chadema bado wanawaza kwamba watanzania bado wamelala na fikra za uchaguzi.

Kwa sasa watanzania wameaamka .wanajua kila aina ya ulaghai,time will tell
 
Nchi Inaongozwa Kwa Utawala Wa Sheria ?
Kukamatwa Kwa Mbowe Spika Ndugai Anajua
Ngoma Inogire

Makonda Naye Anaitwa Kwenye Mhimili Kule Akatoe Hesabu
Kwani amekamatwa akiwa Bungeni?
 
Back
Top Bottom