Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakusaidia nini hiyo wewe binafsi?Wamekosea , wangemsubiria hadi ijumaa ndo wamtie nyavuni akanyee debe hadi jumatatu
Hata akipanga maandamano huwa anapanga halafu anatoroka anawaachia zigo wenzie mwoga sana huyo
Mandela hakuwahi kufanya siasa za kubadili gia angani kama Mbowe.Hawezi kujimaliza kisiasa kwani Mandela alimalizika au aliimarika?
Kwa mtazamo wa makaburu wakati ule Mandela alikuwa mhalifu tena haini. Kwa makaburu weusi wa hapa tz mbowe ni mhalifu.Mandela alikuwa mwaminifu na msafi. Huwezi kumlinganisha Mandela na mambo ya kijinga jinga
mimi hawa sijawasikia, wakiwemo watapelekwa tu mkuu. Tuhuma zao hazisafishi tuhuma za mbowe. acha kuyumba mkuuMmeshampeleka Riziwani na Diamond??
Mkuu, tulia. Endeleeni kusubiri
Ndo nashangaasi wamemwambia aripoti jumatatu wamemkamamata kwa nini?
mimi hawa sijawasikia, wakiwemo watapelekwa tu mkuu. Tuhuma zao hazisafishi tuhuma za mbowe. acha kuyumba mkuu
Utawala bora ni pamoja na kutii sheria bila shurti.daaah hii hatari aisee utawala bora uko wapi utawala wa sheria uko wapi demokrasiya iko wapi semeni basi huu utawala wa kifalme hauna katiba wala sheria tujue moja hakuna haja ya kuwa na upinza tanzania kama hao wapinzani hawaheshimiwi
Umemjibu vyema. Kwa sababu unabwia unga usikamatwe kisa unaowahisi bila ushahidi hawajakamatwa?mimi hawa sijawasikia, wakiwemo watapelekwa tu mkuu. Tuhuma zao hazisafishi tuhuma za mbowe. acha kuyumba mkuu
kwanini wewe usipuuzwe kwa kupinga ukweli.TETESI hizi sio za kweli. Apuuzwe huyu!
Swali lako zuri saana Ndugu yangu,ukishajuwa nani katajwa zaidi hapo waweza juwa ukweli wa mada iliyopo mezaniMkuu, hoja yako inasaidia nini kwenye mjadala huu?
Kwa hiyo msilalamike kuwa ananyanyaswa wakati mnatangaza chama.!
Taarifa nilizopata kutoka kwenye chanzo changu cha kuaminika ni kwamba, Mwenyekiti wa CHADEMA, FREEMAN MBOWE ametiwa nguvuni na Jeshi la Polisi baada ya jitihada za kukimbia na kujificha kushindikana. Mbowe amekamatwa maeneo ya Mikocheni ambako alienda kujificha ili asikamatwe na Jeshi la Polisi. Kwa sasa wapo njiani kuelekea Central ambako atahojiwa kutokana na tuhuma za kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya pamoja na kulisababishia usumbufu na gharama jeshi la polisi.
Taarifa kamili itawajia hivi punde