Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamia SOMALIA BASI CHAP CHAP.
ndo majibu yenu hayo, tunawasubiri 2020 lazima mtutoe roho nyie endeleeni na majibu yenuKwani serikali iliwapeleka??
NADHANI AMEKAMATWA KWA TUHUMA ZA KUTUMIA NA SI VINGINEVYO. BASI WASISAHAU KUMKAMATA NA MWANAMZIKI CHID BENZ.........!
ndo majibu yenu hayo, tunawasubiri 2020 lazima mtutoe roho nyie endeleeni na majibu yenu
Mbowe kakosa UJASIRI hadi kazima simu tangua Jumatano wiki iliyopita, wala haonekani hadharani, huyu hafai kukabidhiwa nchi, anaogopa wito wa POLISI!!
Lizabon inaonekana Leo huko Lumumba kumechafuka ndo maana mmejazana humu ili mtafute hizo buku7. Kuna mwenzako amekuja na ya nccr wewe ya Mbowe.......Haya jitahidi kuleta ututusa wakoTaarifa nilizopata kutoka kwenye chanzo changu cha kuaminika ni kwamba, Mwenyekiti wa CHADEMA, FREEMAN MBOWE ametiwa nguvuni na Jeshi la Polisi baada ya jitihada za kukimbia na kujificha kushindikana. Mbowe amekamatwa maeneo ya Mikocheni ambako alienda kujificha ili asikamatwe na Jeshi la Polisi. Kwa sasa wapo njiani kuelekea Central ambako atahojiwa kutokana na tuhuma za kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya pamoja na kulisababishia usumbufu na gharama jeshi la polisi.
Taarifa kamili itawajia hivi punde
Kama akipimwa ndio tutapata majibuHivi kweli mboe ni teja au ni siasa tu
Mkuu. Ona unavyojitoa ufahamu. Umekuwa kama taahira vile! Ulisema watu wanipuuze eti habari hii si ya kweli. Nikakwambia kuwa kama taarifa hii ni uongo, nipo tayari kujivua CCM na kujiunga UKAWA. Sasa u ekuja kwa unyongeeeee! Pole sana nduguNaona sasa GESHI la Polisi limeamua kujivua nguo, wamemkamata Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani huku wakiwa hawana sababu yeyote ya maana.