Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiwa

Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiwa

Hizi ni Njama Za Tundu Lisu kujiimarisha kisiasa kwa kumdanganya Mbowe a siendi ili akikamatwa Na kupatikana Na hatia itakuwa ime muharibia credibility Yake
 
tusubirie tujue alikaidije agizo la polisi, polisi watakuwa na kazi ya kuthibitisha kwamba walimuita na akakataa
Wathibitishe kwa nani kwako? Muhusika mbowe ndio anajua kwa undani na uthibitisho anao yeye kama yeye.Achana porojo za akina Lisu kwenye kuitwa polisi
 
Aliyekwambia Mbowe aliogopa kwenda polisi nani??Amesema hivi kama Polisi inamuhitaji kusaidia vita vya madawa wamuite kwa heshima na siyo kupitia East African TV au Clouds
Kwa hiyo alivyokamatwa hivyo ndio amepata heshima.?
 
Ujuaji mwingi sana hyu,angejisalimisha mapema angepungukiwa na nn, Zt kamponza
 
Wathibitishe kwa nani kwako? Muhusika mbowe ndio anajua kwa undani na uthibitisho anao yeye kama yeye.Achana porojo za akina Lisu kwenye kuitwa polisu
Mkuu siku hizi umepata uhakimu? Kama ndo nakubaliana na hoja yako, ila kama sio wacha kiherehere; subiri mahakama itatafsiri maana ya kukataa kuitwa
 
Sasa yuko chini ya Muhimili mwingine , huko Mahakamani watakuja kumkamata Makonda aliyeshitakiwa. Ngoja kwanza akanyee Debe Central. Kerewiii, Mangi wa watu
Hahahahahahahaaaaaaa! Sipati picha jinsi Mbowe atakavyobeba mtondoo
Duh! Nyi majamaa bhana... naona mnatekenyana wenyewe kwa wenyewe!!! halafu huo mtekenyo Lizaboni inaonekana umekuingia hadi kwenye mlango wa 6 wa fahamu!!!
 
jamani kukamatwa sio kufungwa MTU kama mbowe ni kama kuweka maji ziwani jioni atatoka mahojiano yakiwa yanaendelea huku wanakunywa na vinywaji either bia au soda hao sio wenzetu bwana hii nchi imegawanika like piramid kwa hyo usisjangae kukamatwa mm nasema wameenda kumpokea
 
mashujaa na majasiri hawajipelekagi wenyewe polisi hata siku moja. ni kazi ya polisi kuwatafuta.
 
Usishangae hata wwwe ukatiwa mbaroni kwa kosa ka madawa ya kulevya. Ona anchokishuhudia wazir wa katiba na sheria dr Mwakyembe kuhusu kijana aliehukumiwa kwa kes tofaut na yeye akishuhudia akibadilishiwa wizara juu kwa ju.
 
Back
Top Bottom