Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiwa

Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiwa

Maneno mengi, utulie tuone mwisho wake kama hana tatizo atarudi mtaani tu mkuu, mbona unaenda mbali sana mshauri kiongozi kuwa cooperative kama yeye ni innocent atabaki kuwa innocent ila hilo halithibitishi politically au emotionally bali technically and proffessionally. Ngoja tuone mwisho wake kwanza..


hii siasa usitumie hisia kufanya kazi za majaji na mkemia
hili la kumpa mtu kesi ya madawa wakati unajua fika kabisa ni uongo si sahihi kabisa

Hahahhahahah naona mnafurahia wanaCCM ila aliaye wa kwanza huwa anacheka zaidi kuliko achakae wakwanza.Kuna siku haya mtashindwa hata kuyabeba.

Muda ni dawa,ila nina uhakika haya mnayoyafanya mtakuja kuyajutia baadaye.Nina uhakika hata Sirro anafanya haya sababu anatetea kitumbua chake tu
 
Hii serikali badala ya kufanya vitu vya maendeleo, inakazana na vitu visivyo na maana kwa mwananchi wa hali ya chini.
 
Haya akina Tundu LISU waliotunisha misuli koko wakisema hatakwenda mbona tayari anaenda? TUNDU lisu sema sasa una uongo gani au porojo gani tena za kubwabwaja?
Ameenda hau amekamatwa kwa nguvu na kupelekwa kama kweli uzi una ukweli ndani take....
 
Taarifa nilizopata kutoka kwenye chanzo changu cha kuaminika ni kwamba, Mwenyekiti wa CHADEMA, FREEMAN MBOWE ametiwa nguvuni na Jeshi la Polisi baada ya jitihada za kukimbia na kujificha kushindikana.

Mbowe amekamatwa maeneo ya Mikocheni ambako alienda kujificha ili asikamatwe na Jeshi la Polisi.

Kwa sasa wapo njiani kuelekea Central ambako atahojiwa kutokana na tuhuma za kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya pamoja na kulisababishia usumbufu na gharama jeshi la polisi.

Taarifa zaidi zinasema kuwa Mbowe amekamatwa akitolewa kwenye Appartment Moja kwenda nyingine akitumia gari Nyeusi, Tinted yenye namba za usajili T 830 DEW aina ya VX. Wamemkamata akiwa nje ya geti ya Appartment hiyo ambayo ni miongoni mwa majengo ya siri ( Safe House) yanayomilikiwa na CHADEMA
Kikubwa na kinacho nisikitisha kwa sasa ni wanaume wengi sana kuwa na tabia za wanawake sijui hali hii inaashiria nini katika taifa hili la viwanda. Mh. Rais anawatu kweli wanaosaidiana naye kufanikisha hili kweli??sijui!!!
 
Bosi wa Bavicha nae anatupa wcwc bwana mpaka kujificha kweny apatment unaacha nyumba yk kuna nn nyuma ya paziyaaaa!!!!?????
 
Waliokua wanampa Kichwa kwenye Uzi ule wa kujisalimisha wako wapi?

Wewe Makonda kuna siku utajutia unayoyafanya.Furahia sasa hivi sababu una support ya Mkuu,kesho yako ndugu huijui?Uzuri unajua fika kabisa kwamba Mbowe hauhusiki kabisa na madawa,mnachofanya ni kutafuta njia tu ya kumnyanyasa baada ya vyote kushindwa.
 
Tuwasamehe waliokuwa wakishadidia uhuni wa Paul Makonda, wao na waliomshadidia ni watu wanaochelewa kuelewa, au tuwaite 'low birth score'.
 
Taarifa nilizopata kutoka kwenye chanzo changu cha kuaminika ni kwamba, Mwenyekiti wa CHADEMA, FREEMAN MBOWE ametiwa nguvuni na Jeshi la Polisi baada ya jitihada za kukimbia na kujificha kushindikana.

Mbowe amekamatwa maeneo ya Mikocheni ambako alienda kujificha ili asikamatwe na Jeshi la Polisi.

Kwa sasa wapo njiani kuelekea Central ambako atahojiwa kutokana na tuhuma za kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya pamoja na kulisababishia usumbufu na gharama jeshi la polisi.

Taarifa zaidi zinasema kuwa Mbowe amekamatwa akitolewa kwenye Appartment Moja kwenda nyingine akitumia gari Nyeusi, Tinted yenye namba za usajili T 830 DEW aina ya VX. Wamemkamata akiwa nje ya geti ya Appartment hiyo ambayo ni miongoni mwa majengo ya siri ( Safe House) yanayomilikiwa na CHADEMA
Vipi kuhusu meno ya tembo nilini mtaanza operation hiyo?
 
Back
Top Bottom