Hahahahahahahaaaaaaa! Anakumbuka yaliyomkuta Arusha aliposafirishwa kwa ndege kwenda Dar. Yaliyomkuta humo kwenye ndege hatakuja kusahauNashangaa kiongozi mkubwa kama Mbowe kuogopa Polisi, wanamshinda ujasiri hata akina Wema na Tid.
CCM ni laana ya taifa hili
Kwa hiyo starehe yako ni kukamatwa kwake?Nina hakika na taarifa hii. Sijawahi kuleta habari ya uongo hapa
Haya akina Tundu LISU waliotunisha misuli koko wakisema hatakwenda mbona tayari anaenda? TUNDU lisu sema sasa una uongo gani au porojo gani tena za kubwabwaja?Taarifa nilizopata kutoka kwenye chanzo changu cha kuaminika ni kwamba, Mwenyekiti wa CHADEMA, FREEMAN MBOWE ametiwa nguvuni na Jeshi la Polisi baada ya jitihada za kukimbia na kujificha kushindikana. Kwa sasa wapo njiani kuelekea Central ambako atahojiwa kutokana na tuhuma za kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya.
Taarifa kamili itawajia hivi punde
Sahihi kabisa. Mbowe anajua makosa yake. Ila akasahau kuwa huwezi kujificha daimaMhe. Iddi Azani mbali na tuhuma zote aaaah! Akachukua gari lake huyoo Polisi. Akajieleza akaruhusiwa. Ukijiheshimu unaheshimiwa. Ukijishusha unainuliwa.
Anajimalizaje kwa mfano?Kwa hili la Mbowe kukaidi agizo la Polisi hakika anajimaliza mwenyewe
Hahahahahahahaaaaaaa! Anakumbuka yaliyomkuta Arusha aliposafirishwa kwa ndege kwenda Dar. Yaliyomkuta humo kwenye ndege hatakuja kusahau
Kumuwaisha kabla muda wa kazi haujaisha kituoni.Hapo wana m-fast track awahi.si wamemwambia aripoti jumatatu wamemkamamata kwa nini?
Mbowe anajua nini kilimtokeaAlifanywa nini??Lizabon ninakuonea huruma sana kuwa na moyo uliojaa chuki,visasi na ubaguzi ambao uaniga tu kutoka kwa viongozi wako,ukiulizwa Mbowe amekufanya nini huna cha kujibu.
Sasa ukiambiwa ameenda mwenyewe polisi utarudi na kitu gani hapo??Dunia ni njia tunapita,na cheo ni dhamana leo unacho kesho huna
si wamemwambia aripoti jumatatu wamemkamamata kwa nini?