Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiwa

Kesho wabunge wote wa upinzan watakuwepo dar kwa ajil ya mbowe unafikir mbowe ni kama lisu
 
Asanteni sana police kwa kumkamata huyo muuza unga na mtumiaji unga. Kesho apelekwe kwa mkemia mkuu wapime damu ya moyoni kabisa.

Kama amezoe kutumia madawa ya kulevya akikalishwa siku mbili chini ya usimamizi wa polisi bila kutumia madawa ataanza kuonyesha dalili zote kama za teja
 
ITV wamesema Mbowe amekamatwa na mpaka wanaleta taarifa hii walikuwa wameenda kumpekua nyumbani mwake kesho tutapata habari kamili
 
kakamatwa ameshushwa kwenye gar yake amepakizwa gar ya polis amepelekwa kuhojiwa baada ya mahojiano amerudishwa nyumban kwake na gar ya police
Amerudishwa? Ha ha haaa...amekwenda kupekuliwa, hujasikia azam two breaking news?
 
Umelipwa ngapi Leo?
 
Kwa sasa tunaendesha vita ya madawa ya kulevya
Mmejitahidi sana FISIEM mpaka leo Mmeambulia kete mia4 za sembe aka kitubarida. ambazo punda watatu tu wakitulia wanabeba mzigo wote huyo.
Kati ya watuhumiwa Mianne mliokamata. SHAME[emoji83]
Mlichofanikiwa ni Mibaangi na miraa aka mirungi na magunia kwa magunia 4finger aka chaukwasi aka gongo ndo ucseme mmezoa madumu kibawwo. Hii ndio kazi mnayoiweza lkn sembe imewashinda
Yani watuhumiwa wote hao eti Mmeambulia kete mia4 [emoji15] [emoji85]
AIIIBU[emoji217] [emoji196]
 
Chadema bana eti amekamatwa akielekea kituoni
Siku zote hizo alizojificha alikuwa anahamisha ushahidi
 




Kamanda feki mbowe kabeep na kamanda wa ukweli sirro kampigia sasa kitaeleweka akalalale shimoni apige kolabo na manji .
 
Wala hajimalizi kisiasa,Inawezekana pia amepelekewa summons na akaenda mwenyewe,hivyo sishangai UVCCM akija na mbia kama vile amefumaniwa.Ila Kesho mumsindikize Mkuu wa Mkoa Mahakamani.
Summons kutoka POLISI?
 
Haya akina Tundu LISU waliotunisha misuli koko wakisema hatakwenda mbona tayari anaenda? TUNDU lisu sema sasa una uongo gani au porojo gani tena za kubwabwaja?
Watu wengine bwana,,sasa kama wamemkamata si wametumia nguvu,,kwan kajipeleka yeye mwnyw kama wengn walivyofanya?alisema siendi kwa kauli ya yule KONDA wenu,,hajajipeleka mwnyw,ni polisi ndo wameunguza mafuta ya walipa kodi kwenda kumchukua,,,anyway tunataka chanzo cha habari na sio mtu kakurupuka kuandika movie waliyoitunga yy na mkewe
 
Sasa mbona taarifa nyingine zinasema kaenda kuripoti mwenyewe kituo cha kati kwa hiyo niza uwongo[emoji86]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…