Tanzania Njema Yaja
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 3,042
- 2,417
Kwani ccm nani kakamatwa, nani ana kesi, nani kafungwa? Kwani wapinzani wangapi wamekamatwa, wangapi wana kesi, wangapi wamefungwa? Be at ur age ndugu.....Akikamatwa mpinzani ni injustice...yeye yupo juu ya sheria au sio...!?
Hapilisi mazoba sana.siku zote hizo hata kama ni kweli atanisubiri nyie na hivyo vizibhti!!!!!.kwanini hawakuvamia kabla hajatajwa.Tanzania hatuna jeshi la polisi.nyie polbsi wacheni kutumika kisiasa.Yaani labda vipimo lakini kwa upande wa NYARAKA TANGU AITWE MPAKA LEO AWE BADO ANAZO TU MIMI SI DHANI.
Eti sheria.... ha haa haaaa...mnachekesha... lakini hata Idi Amini Dada na Hitler walikuwa na wafuasi sikushangai...... na wafuasi kama wewe walikuwa chama tawala na walio umizwa na sheria walikuwa ni wapinzani kama hao unao wasema.... be blessed....Ujinga wa wapinzani ni kudhani sheria zipo kwa baadhi ya watu tu na kujiona wao wapo juu ya sheria. Ishu ya madawa wameitwa watu wengi, lakini kuitwa Mbowe eti sio haki. Huyo Mbowe mnalala naye kwamba mnajua kila anachokifanya? Huyo Mbowe mnatembea naye kila sehemu kwamba mnajua anachokifanya? Suala binafsi la Mbowe mnalifanya kuwa la chama, si upuuzi huu. Au labda hayo madawa anayotuhumiwa ndio yanawafaidisha kwenye vyama vyenu?
Nime sahihisha mkuu Nili copy vby sorryMaalim Seif aandike kiingereza kibovu hivyo? Ni uzee au? Siamini,labda umenakili hovyo
Mzee Tupatupa
Nchi yetu yenda wapi, tumekuwa wachawi wanaosubiri waliemuwangia afe.Hahahahahah wenzio wana hofu imetanda mitaa ya ufipa unadhani wafadhili au wajerumani wakisikia majibu ya mkemia yakitoka vibaya unadhani itakuwaje?
Hata siro Ni mzembe kati ya wazembe wengine yaani muda wote huo bado akute ushahidi
apekuliwe kikamilifu na kwa kuzingatia sheria. hakuna aliye juu ya sheria
Sasa nikinanani ambao jamii ikiambiwa wanajihusisha na madawa ya kulevya iwe kwa kuuza au kwa kutumia tutapokea bila shaka yoyote?Iyo njia ni batili aitazaa matokeo chanya , pili ndani ya iyo vita zimeingizwa siasa.
Kwa sasa polisi wanamfanyia upekuzi nyumbani Kwake ili kujiridhisha ...
source:John Mrema (CHADEMA).
Serikali kama hii ndio wananchi wweeengi tuliitaka. Mungu amejibu maombi properMhhhhhhhh vijana tufanye kitu kukomboa taifa tuache kulalamika .siipendi serikali ya sasa kwa sababu ipo sawa na ya kikoloni yao tawaza kutesa tuuuuu
hahahaaa nimecheka sanasasa naamin kwa nini polisi ni darasa la saba
Taarifa nilizopata kutoka kwenye chanzo changu cha kuaminika ni kwamba, Mwenyekiti wa CHADEMA, FREEMAN MBOWE ametiwa nguvuni na Jeshi la Polisi baada ya jitihada za kukimbia na kujificha kushindikana.
Mbowe amekamatwa maeneo ya Mikocheni ambako alienda kujificha ili asikamatwe na Jeshi la Polisi.
Kwa sasa wapo njiani kuelekea Central ambako atahojiwa kutokana na tuhuma za kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya pamoja na kulisababishia usumbufu na gharama jeshi la polisi.
Taarifa zaidi zinasema kuwa Mbowe amekamatwa akitolewa kwenye Appartment Moja kwenda nyingine akitumia gari Nyeusi, Tinted yenye namba za usajili T 830 DEW aina ya VX. Wamemkamata akiwa nje ya geti ya Appartment hiyo ambayo ni miongoni mwa majengo ya siri ( Safe House) yanayomilikiwa na CHADEMA