Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiwa

Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiwa

JF angalie ni taarifa ipi sahihi then muiweke...je amekamatwa au amejisalimisha?.....maana taarifa za uongo zikipewa kipaumbele JF inazidi kukosa Hadhi
 
Eti tunabana matumizi!!!! Gharama mnazotumia kuwaandama wapinzani na kesi uchwala,ndio kubana matumizi!!.
 
Mleta hoja anapotosha , haijafikia hata kuchukua maelezo , sasa ya dhamana umeyatoa wapi sijui umekula maharage ya wapi wewe
 
ngoja siro ndiye atakayetoa taarifa kama mbowe kajipeleka au kakamatwa pangoni
 
Yaani ni sawa na Simba kujikamuaaa kuruka kumkamata mnyama, na kujisifu kwa ujasiri kumbe mnyama mwenyewe alishajifia huko long time
 
Baada ya kukaa Mafichoni kwa Muda mrefu Mheshimiwa Mbowe ameweza kutiwa Nguvuni mchana wa Leo na Vijana shupavu wa Jeshi la Polisi.

Mbowe alikua Kajificha Mikocheni baada ya day and night hunt waliweza kumfuma japo kumekua na upotoshaji kutoka CHADEMA unaopamba habari kuwa eti amejipeleka yeye mwenyewe.


Acha ubwege na roho za VIWONDER
 
Kamanda jana ulifungua thread kwa tamko koko kutoka bavicha.Mlidhani hilo teja lenu haliwezi kukamatwa?
Mbowe ana mlinzi na dereva toka serilikalini,anawasiliana na sumaye na Lowassa wenye walinzi na madereva toka serikali unategemea nini?wanarusha tu coordinates,ndio maana kakamatwa getini anataka kutoroka!
Embu acheni propaganda...... mnapata nini mnaposambaza taarifa za uongo na kupotosha umma?? Una uhakika mbowe kakamatwa au aliambiwa aripoti jumatatu??? Ssa siku haijaisha polisi waende kumkamata wa nini???

Mkuu unaheshima kubwa humu jf usitaki udharaulike
 
eti ajifiche kwa lipi mbona wezi wa escrow na iptl wapo mtaani aijui wataitwa ln waripoti polisi. ccm mnashangilia kwa kuwa mnajua hii ni. vita. ya kisiasa
 
Mandela hakuwahi Kuuza unga
Kwani Mbowe aliwahi kuuza "unga" au ni tuhuma tu. Unaifahamu universal Declaration of Human rights, article 11 sec I? Mpaka mahakama itakapo thibitisha, beyond reasonable doubt, kwamba Freeman Mbowe ni mtumiaji au muuza 'unga', hizi zitabakia kuwa siasa tu!
 
Baada ya kukaa Mafichoni kwa Muda mrefu Mheshimiwa Mbowe ameweza kutiwa Nguvuni mchana wa Leo na Vijana shupavu wa Jeshi la Polisi.

Mbowe alikua Kajificha Mikocheni baada ya day and night hunt waliweza kumfuma japo kumekua na upotoshaji kutoka CHADEMA unaopamba habari kuwa eti amejipeleka yeye mwenyewe.


Ajabu vyombo vyote vya habari vinavyosema kuwa jamaa kajipeleka mwenyewe vimetaja chanzo cha habari kuwa ni pande zile...ukweli unabaki palepale...amekamatwaa hata km eti njiani
 
Taarifa nilizopata kutoka kwenye chanzo changu cha kuaminika ni kwamba, Mwenyekiti wa CHADEMA, FREEMAN MBOWE ametiwa nguvuni na Jeshi la Polisi baada ya jitihada za kukimbia na kujificha kushindikana.

Mbowe amekamatwa maeneo ya Mikocheni ambako alienda kujificha ili asikamatwe na Jeshi la Polisi.

Kwa sasa wapo njiani kuelekea Central ambako atahojiwa kutokana na tuhuma za kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya pamoja na kulisababishia usumbufu na gharama jeshi la polisi.

Taarifa zaidi zinasema kuwa Mbowe amekamatwa akitolewa kwenye Appartment Moja kwenda nyingine akitumia gari Nyeusi, Tinted yenye namba za usajili T 830 DEW aina ya VX. Wamemkamata akiwa nje ya geti ya Appartment hiyo ambayo ni miongoni mwa majengo ya siri ( Safe House) yanayomilikiwa na CHADEMA




Lizabon jirekebishe huyo ni kamanda hawezi jificha kama kakakuona au ni muoga .
 
Taarifa nilizopata kutoka kwenye chanzo changu cha kuaminika ni kwamba, Mwenyekiti wa CHADEMA, FREEMAN MBOWE ametiwa nguvuni na Jeshi la Polisi baada ya jitihada za kukimbia na kujificha kushindikana.

Mbowe amekamatwa maeneo ya Mikocheni ambako alienda kujificha ili asikamatwe na Jeshi la Polisi.

Kwa sasa wapo njiani kuelekea Central ambako atahojiwa kutokana na tuhuma za kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya pamoja na kulisababishia usumbufu na gharama jeshi la polisi.

Taarifa zaidi zinasema kuwa Mbowe amekamatwa akitolewa kwenye Appartment Moja kwenda nyingine akitumia gari Nyeusi, Tinted yenye namba za usajili T 830 DEW aina ya VX. Wamemkamata akiwa nje ya geti ya Appartment hiyo ambayo ni miongoni mwa majengo ya siri ( Safe House) yanayomilikiwa na CHADEMA


Mmh! Waangalie vizuri humo. Wanaweza kumpata Saanane!
 
Baada ya kukaa Mafichoni kwa Muda mrefu Mheshimiwa Mbowe ameweza kutiwa Nguvuni mchana wa Leo na Vijana shupavu wa Jeshi la Polisi.

Mbowe alikua Kajificha Mikocheni baada ya day and night hunt waliweza kumfuma japo kumekua na upotoshaji kutoka CHADEMA unaopamba habari kuwa eti amejipeleka yeye mwenyewe.


Hamuelweki, yani kila mtu anajikuta mwandishi wa habari
 
Back
Top Bottom