Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
-->>Niwakati wao acha wayatende haya kwa sasa muda utafika pia wao hawatahurumiwa hata kidogo......""
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
amelala muda gani wakati hata siku bado haijaisha au amelala mchana hapo selo?Kwa taarifa hii tunaweza kuamini kuwa ni rasmi, KUB amelala sero la police central na kesho atatolewa kwenda kwa Mkemia Mkuu wa Serikali kupimwa status yake ya kutumia mihadarati!
manji amepatikana anatumia, imekuwa vipi?Hivi akipatikana kwa mkemia mkuu kwamba ni mtumiaji wa hivyo vitu, itakuwa vipi?
Wapi waliposema "Ameshushwa Kilazima"!!????na wewe acha UONGO kilamtu kaiangalia ITV
ingawa hakukuwepo na picha lkn kashushwa kwenye gari yake na kupandishwa ya Polisi wakiwa njia
na wanamshikilia mpaka sasa baada ya kutoka kwake
sasa unataka kuungana na waliosema alikwenda mwenyewe Central?
Hajaenda mwenyewe, usipotoshe, ukweli tuukubali mengine baadae.Alifanywa nini??Lizabon ninakuonea huruma sana kuwa na moyo uliojaa chuki,visasi na ubaguzi ambao uaniga tu kutoka kwa viongozi wako,ukiulizwa Mbowe amekufanya nini huna cha kujibu.
Sasa ukiambiwa ameenda mwenyewe polisi utarudi na kitu gani hapo??Dunia ni njia tunapita,na cheo ni dhamana leo unacho kesho huna
Acha kufananisha mandela na ujingaHawezi kujimaliza kisiasa kwani Mandela alimalizika au aliimarika?
Wastage of resources and police time.Yaani labda vipimo lakini kwa upande wa NYARAKA TANGU AITWE MPAKA LEO AWE BADO ANAZO TU MIMI SI DHANI.
Kwa lipi haswa.Kama ni kweli basi Mbowe anajimaliza kisiasa, kwa nini ajifiche kama hana dosari?
Hakutaka hiyo style ya kuitwa kama mbwa wa Stendi yeyeKama ni kweli basi Mbowe anajimaliza kisiasa, kwa nini ajifiche kama hana dosari?
Manji si kiongozi wa chama cha siasa wala KUB. Ninauliza hivi sababu hiko chama ikidhibitishwa na mkemia kwamba kinaongozwa na wabugia unga, itakuwa vipi?manji amepatikana anatumia, imekuwa vipi?