Dawa za Kulevya: Wema adai Makonda anatembea na Agnes Masogange ndio maana hakamatwi

Mange mwenyewe ni suala la muda labda asirudi bongo maana wanamsubiri kwa ham kweli kweli na mkumbuke ni miaka kumi
Mm naona bora Wema naye afungwe tu kama Lema. Halafu tuene jinsi miccm it aka tonic hang any a! You won't believe kauli za utata utata zitakavyokuja
 
Mange anazidi kupalia makaa ya moto tu. Wema hakujua Kama anarekodiwa? Wanasemaga mdomo huponza kichwa
Bila shaka hakujua kuwa anarekodiwa, aliyemrekodi hamtakii mazuri wema.

Wema nae kuna muda inatakiwa akae kimya asubiri maamuzi maana ulimi huponza wakati mwingine
 
Wema Sepetu
 

Attachments

Naendelea kuufanyia kaz mchanganuo wako Mkuu.
 

Na wewe ni kachochezi!. Lol!
 
Kama familia ya wema inampenda binti yao impige stop mange kua mtetezi wa wema mtandaoni anamharibia sana wema. clip zote karusha mange na kuziwekea jina lake kutafuta sifa na followers wengi.
Shida ni watu wa karibu na wema.....

Mtu mwenye nia nzuri na wema angeedit hiyo clip

Na mange alivyonyamitusi hata hakuangalia athari za hilo neno......
 
Wenye simu za kufunga mapira kazi ipo nasikia audio itamtokea puani,mara ooh masogange hata sielewi kabisa duuh ngoja nichaji tena nitarudu
 
,tunampongeza Kwa kazi ya nia ya dhati kabisa kupambana na janga hili limalizalo vijana kuliko HIV.Pia tunamuomba apambane na janga La viroba pia ni shida zaid ya madawa.
Tena hili la viroba Mheshimia waziri wa Mambo ya Ndani ni mdau wetu humu jama ukienda vijijini ndio kunatisha viroba vinauwa nguvu kazi ya Taifa mdau wetu tunaomba sana uangalie hili swala jicho la tatu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…