DAWASA, mmeanza rasmi kutoa maji ya chumvi?

DAWASA, mmeanza rasmi kutoa maji ya chumvi?

Ujue tuachege ujuaji inawezekana Dawasco wanafanya makosa kuwapa wateja wake maji ya chumvi ila ww uloleta hii mada unajua garama ya mitambo yakubadili maji chumvi kua maji baridi

Tujifunze kufanya utafiti kabla ya kutoa ushauri
Ata nchi zenye uchumi mkubwa dunian hii technolojia hawana
 
If it makes you feel happy then call me a dog or a lice thousand times, it doesn't bother me as long as I know who I am.
Nilichotambua toka kwako ni emotional intelligence yako iko chini sana. Hujiamini ni vile unalipuka kwa matusi kabla ya kujenga hoja.
Haya Mimi ni mbwa na chawa Sasa turudi kwenye hoja kuu.
Acha kulialia na kulaumu badala ya kuomba ufafanuzi.
Wewe na mimi hatuchekani wote emotional intelligence ziko chini ndo maana hukutumia hekima kunijibu.
Nawatu ka ninyi nawawasha tuu maana utaalamu hauna bali ni unazi tuu na uchawa kwa viongozi wa ccm
 
Ujue tuachege ujuaji inawezekana Dawasco wanafanya makosa kuwapa wateja wake maji ya chumvi ila ww uloleta hii mada unajua garama ya mitambo yakubadili maji chumvi kua maji baridi

Tujifunze kufanya utafiti kabla ya kutoa ushauri
Ata nchi zenye uchumi mkubwa dunian hii technolojia hawana
Alafu kweli tuache ujuaji, mimi kujaribu kuwaza sehemu ya solution katika tatizo lilopo ni kosa?? Tukilalamika na kukosoa bila solution mnasema tunakosea tuu bila suluhisho mbadala.

Kumbuka mimi ni raia wa kawaida ambaye nategemea end result ya huduma nipewayo iwe sahahihi bila kujua wanafanyaje as long nime agree price.

Kuna wadua wamesema hayo maji ya chumvi pia yanaweza kuharibu miundombinu ya maji kitu ambacho mm sikuwahi kufikiria kama inaleta madhara.

Ni hivi ungeweza kutumia lugha nzuri tuu ya kunikosoa kuliko hii yakusema "et ujuaji" its means mimi raia na mteja wa DAWASA sina haki ya kulalamika juu ya huduma mbovu pia DAWASA wao hawajafanya kosa ndo mana umenishambulia mimi tuu.

Ni hizi hizi roho za kibinafsi ndizo zinazotufelisha sisi wa Africa kuwa kizazi maskini na jaa la upumbavu kifupi laana... yoote haya ni kwasababu wewe hii kadhia haikupati au hata ka inakupa basi unaconnection na wanufaika wa huu upumbavu
 
Wewe na mimi hatuchekani wote emotional intelligence ziko chini ndo maana hukutumia hekima kunijibu.
Nawatu ka ninyi nawawasha tuu maana utaalamu hauna bali ni unazi tuu na uchawa kwa viongozi wa ccm
Hukuelewa hoja yangu ukaweka hisia unakimbilia kunitusi, namimi kuonesha sipo weak emotionally kama wewe sikukujibu matusi.

Jiulize ningekujibu matusi makubwa zaidi yako, pengine ningekutukania hadi wazazi wako ungefaidika nini na matusi uliyo nirushia?

Uliwaza hilo kabla ya kuniita mbwa?
Au unafikiri matusi unayaweza peke yako?

Next time use your brain, champ. Don't let your emotions cloud your judgement.
 
Hukuelewa hoja yangu ukaweka hisia unakimbilia kunitusi, namimi kuonesha sipo weak emotionally kama wewe sikukujibu matusi.

Jiulize ningekujibu matusi makubwa zaidi yako, pengine ningekutukania Hadi wazazi wako ungefaidika Nini na matusi uliyo nirushia?
Uliwaza hilo kabla ya kuniita mbwa?
Au unafikiri matusi unayaweza peke yako?
Next time use your brain, champ. Don't let your emotions cloud your judgement.
Narudia tena hata kwa vingereza vingi iko ivi hujatumia akili na kama matusi ushantukana makubwa tuu kimya kimya sema ndo ivo una act....

Hata ivo hujatoa hoja yako je ni sawa kutupatia maji ya chumvi ??
Kama ndio only option wafanyeji kuyatibu au watumie njia gani kutatua tatizo?
 
Narudia tena hata kwa vingereza vingi iko ivi hujatumia akili na kama matusi ushantukana makubwa tuu kimya kimya sema ndo ivo una act....

Hata ivo hujatoa hoja yako je ni sawa kutupatia maji ya chumvi ??
Kama ndio only option wafanyeji kuyatibu au watumie njia gani kutatua tatizo?
Kwanza ulitakiwa uweke ujumbe wa kuuliza kwanini wanatusambazia maji ya chumvi?
Kisha wakijibu ukajua sababu ulitakiwa utoe pendekezo la nini kifanyike kwa namna ipi ukizingatia uhalisia wa uchumi wa nchi yetu.
Mpaka Sasa hatujui sababu gani wanafanya hivyo.

Wakati unasubiri majibu tumia kemia rahisi tu ya kubadili hard water kuwa soft water, chemsha maji yako ya kunywa.
Kufulia na usafi mwingine tumia detergents i.e sabuni za maji na unga siyo sabuni za vipande. Angalau kwa sasa wakati ukisubiri majibu.

Kufanya industrial process za kubadili hard water(maji chumvi) kuwa maji baridi (soft water) ni ghali sana ni vigumu hasa kwa uwingi unaotakiwa kusambaza kwenye mabomba majumbani.
 
Walisema ni mamlaka ya maji hawakubainisha ni maji chumbi au baridi
 
wawe makini wasisababishie watu shida ya mawe kwenye figo.
 
Ujue tuachege ujuaji inawezekana Dawasco wanafanya makosa kuwapa wateja wake maji ya chumvi ila ww uloleta hii mada unajua garama ya mitambo yakubadili maji chumvi kua maji baridi

Tujifunze kufanya utafiti kabla ya kutoa ushauri
Ata nchi zenye uchumi mkubwa dunian hii technolojia hawana
😂😂😂😂
Ila JF, experts wanna be......
Maji chumvi kama wanayotumia DAWASA , ( ya kisima) yanatreatika Vizuri tu.
Hata hapa bongo watu wanatreat vizuri tu.
Issue ni wafanya maamuzi wana mentality zilizo pitwa na wakati.
Ipo siku nafasi hizo zitashikwa na wataalamu kweli, hapo ndio utaona mabadiliko.
If maji yana chumvi ambazo unaweza ukatest kwa mdomo kabisa, basi yana matakataka mengi sana Humo ndani.

Wakati mwingine yana Suspended particles, ambazo zina settle easily.
Inaonesha wameyachukua wakachrolinate afu basi.

Tunaishi karne ya 19, wakati dunia ipo karne ya 21.
Na huu ujinga unaanzia Chuoni wakati tunaandaa Engineers.
Tunabase kwenye Sand filters (slow and rapid ) afu tunaacha emerging techonlogies.
Ambazo, if properly taught. Tusingeskia kelele za Engineer hana Ajira.
 
Kwanza ulitakiwa uweke ujumbe wa kuuliza kwanini wanatusambazia maji ya chumvi?
Kisha wakijibu ukajua sababu ulitakiwa utoe pendekezo la nini kifanyike kwa namna ipi ukizingatia uhalisia wa uchumi wa nchi yetu.
Mpaka Sasa hatujui sababu gani wanafanya hivyo.

Wakati unasubiri majibu tumia kemia rahisi tu ya kubadili hard water kuwa soft water, chemsha maji yako ya kunywa.
Kufulia na usafi mwingine tumia detergents i.e sabuni za maji na unga siyo sabuni za vipande. Angalau kwa sasa wakati ukisubiri majibu.

Kufanya industrial process za kubadili hard water(maji chumvi) kuwa maji baridi (soft water) ni ghali sana ni vigumu hasa kwa uwingi unaotakiwa kusambaza kwenye mabomba majumbani.
Brother hivi vitu unasema kinadharia saana ila ground haiwezekani,
1. Kuchemsha maji ya chumvi hakuondoi chumvi.
2. Kuchemsha midhili ya ku distillery hii gharama yake na muda hai make sense
3. Detergents za kumudu maji ya chumvi ni kwamba ushaniongezea bajeti nyingine.
4. Ki professionalism kutoa maji ya chumvi bila taarifa ni kumnyima haki mteja, kutoa huduma below standard ni dhulma.
5. Tusikubali kuwa wapole kiasi cha ujinga hawa viongozi wetu ni wasomi walisomeshwa kwa gharama na wengi wao walifaulu, si kwamba hawana akili sema siasa za kibinafsi na ulaghai zinaafifisha maamuzi yenye tija kwa taifa.
Na ndio maana hatuachi kutumia lugha za msisitizo ambazo mnaita matusi
 
😂😂😂😂
Ila JF, experts wanna be......
Maji chumvi kama wanayotumia DAWASA , ( ya kisima) yanatreatika Vizuri tu.
Hata hapa bongo watu wanatreat vizuri tu.
Issue ni wafanya maamuzi wana mentality zilizo pitwa na wakati.
Ipo siku nafasi hizo zitashikwa na wataalamu kweli, hapo ndio utaona mabadiliko.
If maji yana chumvi ambazo unaweza ukatest kwa mdomo kabisa, basi yana matakataka mengi sana Humo ndani.

Wakati mwingine yana Suspended particles, ambazo zina settle easily.
Inaonesha wameyachukua wakachrolinate afu basi.

Tunaishi karne ya 19, wakati dunia ipo karne ya 21.
Na huu ujinga unaanzia Chuoni wakati tunaandaa Engineers.
Tunabase kwenye Sand filters (slow and rapid ) afu tunaacha emerging techonlogies.
Ambazo, if properly taught. Tusingeskia kelele za Engineer hana Ajira.
Titicomb njoo upitie hii nondo hapa kuna mtaalamu mwenzako wa kemia hapa
 
Bora wewe unapata hayo ya chumvi wengine hawapati kabisa
 
Ujue tuachege ujuaji inawezekana Dawasco wanafanya makosa kuwapa wateja wake maji ya chumvi ila ww uloleta hii mada unajua garama ya mitambo yakubadili maji chumvi kua maji baridi

Tujifunze kufanya utafiti kabla ya kutoa ushauri
Ata nchi zenye uchumi mkubwa dunian hii technolojia hawana
Ndio watuletee mimaji michafu wamama wanaugua homa za matumbo mtaani hali mbaya wewe unazungumzia mitambo?
 
😂😂😂😂
Ila JF, experts wanna be......
Maji chumvi kama wanayotumia DAWASA , ( ya kisima) yanatreatika Vizuri tu.
Hata hapa bongo watu wanatreat vizuri tu.
Issue ni wafanya maamuzi wana mentality zilizo pitwa na wakati.
Ipo siku nafasi hizo zitashikwa na wataalamu kweli, hapo ndio utaona mabadiliko.
If maji yana chumvi ambazo unaweza ukatest kwa mdomo kabisa, basi yana matakataka mengi sana Humo ndani.

Wakati mwingine yana Suspended particles, ambazo zina settle easily.
Inaonesha wameyachukua wakachrolinate afu basi.

Tunaishi karne ya 19, wakati dunia ipo karne ya 21.
Na huu ujinga unaanzia Chuoni wakati tunaandaa Engineers.
Tunabase kwenye Sand filters (slow and rapid ) afu tunaacha emerging techonlogies.
Ambazo, if properly taught. Tusingeskia kelele za Engineer hana Ajira.
At least wewe umeongea point ya nguvu yaan watu wanashindwa kufanya treatment ya maji kweli kweli kweli yaan wameshindwa kabisa kuyatreat maji?
 
Kwa maana nyingine na mgao wa umeme umeanza.
 
Wasalam,

Huu uzi naomba mods muwa tag DAWASA ili waje watupe jibu la swali letu.

Je, DAWASA mmeanza kutoa maji ya chumvi rasmi?

Malalamiko ya upatikanaji wa maji safi na salama yamekuwepo kwa muda mrefu sasa hali imebadilika baada ya kuanza kusambaziwa maji ya chumvi au yenye magadi makali saana.

Mwenzi huu wote maji yao yamekua na changamoto ya chumvi kiasi ambacho unaogea kwa taabu na hata kufanyia shughuli zingine ikiwa pamoja na kunywa.

Ikiwa ni hali hii inatokana labda na kutikutegemea mito je kama ni visima ni kwamba DAWASA wameshindwa kutumia technology ya ku treat maji ya chumvi na ku ya stabilise?

Kwa hali hii je hamu hatarishi Afya zetu kwakuruhusu kutoa huduma kinyume na makubaliano ama huduma chini ya kiwango?
DAWASA
Mnaitwa huku mtoe ufafanuzi
 
Wasalam,

Huu uzi naomba mods muwa tag DAWASA ili waje watupe jibu la swali letu.

Je, DAWASA mmeanza kutoa maji ya chumvi rasmi?

Malalamiko ya upatikanaji wa maji safi na salama yamekuwepo kwa muda mrefu sasa hali imebadilika baada ya kuanza kusambaziwa maji ya chumvi au yenye magadi makali saana.

Mwenzi huu wote maji yao yamekua na changamoto ya chumvi kiasi ambacho unaogea kwa taabu na hata kufanyia shughuli zingine ikiwa pamoja na kunywa.

Ikiwa ni hali hii inatokana labda na kutikutegemea mito je kama ni visima ni kwamba DAWASA wameshindwa kutumia technology ya ku treat maji ya chumvi na ku ya stabilise?

Kwa hali hii je hamu hatarishi Afya zetu kwakuruhusu kutoa huduma kinyume na makubaliano ama huduma chini ya kiwango?

Uko wilaya, kata ipi?
 
Wasalam,

Huu uzi naomba mods muwa tag DAWASA ili waje watupe jibu la swali letu.

Je, DAWASA mmeanza kutoa maji ya chumvi rasmi?

Malalamiko ya upatikanaji wa maji safi na salama yamekuwepo kwa muda mrefu sasa hali imebadilika baada ya kuanza kusambaziwa maji ya chumvi au yenye magadi makali saana.

Mwenzi huu wote maji yao yamekua na changamoto ya chumvi kiasi ambacho unaogea kwa taabu na hata kufanyia shughuli zingine ikiwa pamoja na kunywa.

Ikiwa ni hali hii inatokana labda na kutikutegemea mito je kama ni visima ni kwamba DAWASA wameshindwa kutumia technology ya ku treat maji ya chumvi na ku ya stabilise?

Kwa hali hii je hamu hatarishi Afya zetu kwakuruhusu kutoa huduma kinyume na makubaliano ama huduma chini ya kiwango?
Waandikie pia kwenye uzi wao, wapo humu:

 
Back
Top Bottom