Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 4,324
- 5,933
- Thread starter
-
- #61
Ahsante mama yangu kwakunielekezaWaandikie pia kwenye uzi wao, wapo humu:
DAWASA Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na ushauri
Ndugu wana JamiiForums, Tunashukuru kwa maoni yenu mliyoweka hapa juu ya huduma mnazo pata kwenye matawi yetu yaliyo Jijini Dar es salaam , miji ya Kibaha na Bagamoyo Mkoani pwani. DAWASCO inapokea maoni na malalamiko yenu na tuna wahakikishia kuwa tutachukua hatua stahiki kwa haraka zaidi...www.jamiiforums.com
Bila shaka hii ni konondoni.Uko wilaya, kata ipi?
Ya Segerea dar es salaamUko wilaya, kata ipi?
Aisee....Jitahidi uwe unachemsha hayo maji kabla ya kunywa ukiifatisha serikalo utaumiza Familiya yako.
Yana ubora kweli??Maeneo mengi yanapata majichumvi kutokana na DAWASA kutumia visima vifupi kuliko vinavyochimbwa na watu binafsi, maji hayo yanaharibu mabomba na koki za chuma.
Mimi nipo Dsm MkuuBro unaandika comment hii ukiwa wap??
It depends on the salinity of the water source but reverse osmosis doesn't purify water 100% it only depends on the intensity and longetivity of the source.Maji ya REVERSE OSMOSIS YANA CHUMVI?
RO inapurify water mkuu....(kwa kiwango cha matumizi ya viwandani na majumbani).It depends on the salinity of the water source but reverse osmosis doesn't purify water 100% it only depends on the intensity and longetivity of the source.
Mbona ka haupo makazi rasmi??Mimi nipo Dsm Mkuu
Inawezekana sema wabongo wanavipaumbele Vingine.At least wewe umeongea point ya nguvu yaan watu wanashindwa kufanya treatment ya maji kweli kweli kweli yaan wameshindwa kabisa kuyatreat maji?
πππ Mkuu wanajua, sio kweli kwamba DAWASA wote ni vilaza.Emu wafafanulie vizuri DAWASA
Wape somo tu mkuu labda watachukua utaalamu kutoka kwako haiwezekani washindwe kiasi hiki it doesn't make sense at allπππ Mkuu wanajua, sio kweli kwamba DAWASA wote ni vilaza.
Ila nadhani wataalamu wazuri hawana Sauti.
Ni kweli maji ya chumvi huwa tunawaletea wateja wakorofi kama wewe usielipa bili kwa wakati.[emoji51]Wasalam,
Huu uzi naomba mods muwa tag DAWASA ili waje watupe jibu la swali letu.
Je, DAWASA mmeanza kutoa maji ya chumvi rasmi?
Malalamiko ya upatikanaji wa maji safi na salama yamekuwepo kwa muda mrefu sasa hali imebadilika baada ya kuanza kusambaziwa maji ya chumvi au yenye magadi makali saana.
Mwenzi huu wote maji yao yamekua na changamoto ya chumvi kiasi ambacho unaogea kwa taabu na hata kufanyia shughuli zingine ikiwa pamoja na kunywa.
Ikiwa ni hali hii inatokana labda na kutikutegemea mito je kama ni visima ni kwamba DAWASA wameshindwa kutumia technology ya ku treat maji ya chumvi na ku ya stabilise?
Kwa hali hii je hamu hatarishi Afya zetu kwakuruhusu kutoa huduma kinyume na makubaliano ama huduma chini ya kiwango?
Tunabishana mkuu kwa mfano RO ya maji ya afya ni tofauti na kilimanjaro na uhai kama RO inafanya kazi 100% kwa nini tusi purify maji ya chumvi ndio maana nimesema mwanzoni it depends on the water source of the water to be purified if it's easier like that kwa nn tusi purify wastewater?RO inapurify water mkuu....(kwa kiwango cha matumizi ya viwandani na majumbani).
It only depends on
Quality of feed water & Percentage recovery.
Yaan daah hawa Jamaa hawafanyi fair hata km ni gharama ndio watu waletewe maji magumu?Inawezekana sema wabongo wanavipaumbele Vingine.
Na hizi plant wala sio Gharama, ni basi tu.
Na hata wakinstall, vinakufa kwa sababu ya poor operation.
Uwe na adabu wakubwa wakiwa wanaongea uwe mtulivu usije ukachafua uzi,Ni kweli maji ya chumvi huwa tunawaletea wateja wakorofi kama wewe usielipa bili kwa wakati.[emoji51]
RO inatoa madin yote kwenye maji yani hayo unayo yaona kwenye chapa ni dosing iyo,It depends on the salinity of the water source but reverse osmosis doesn't purify water 100% it only depends on the intensity and longetivity of the source.