DAWASA Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na ushauri

Wahusika kama nilikuwa nalipa bill kwa Maxmalipo au Selcom bahati mbaya nikakosea akaunti namba malipo yakaenda kwenye akaunti nyingine nawezaje kurekebisha ili malipo yaende kwenye akaunti iliyokusudiwa?
 
Kwe nini kijiji cha mpiji (kibaha) amjaleta hudumaa ya maji?
 
Nyie Dawasco vipi? Sasa mbona watu wanauliza halafu hamtoi majibu? Hamjui mtu mmoja akiuliza linaweza kuwa ni tatizo la wengi hivyo kupitia huyo wakapata majibu? Toeni majibu kwa haraka jamani vinginevyo kutakuwa hakuna haja ya kuwa na Special Thread
 
Hivi Dawasco hii special thread kwa ajili ya wateja kutoa maoni/ malalamiko ni GERESHA? Mbona hakuna MAJIBU WALA HATUA ZINAZOCHUKULIWA kutatua KERO?
 
Jambo lolote ukiiga ni lazima uchemke , hawa jamaa awakujipanga kabisa na hii huduma kiko wapi sasa wamekula kona.
 
Dawasco narudia tena pale mtaa wa omary londo na swahiki Gerezani kuna tatizo gani mbona kinyesi na sisi kila siku ?mnashindwa nini nyie si mna ma engineers tatizo liko wapi..au mnafurahi.sisi tuishi na vinyesi?
 
Ununio hatuna maji siku ya pili mfululizo na hakuna taarifa yeyote!
 
Nimeunganisha maji tangu dec 2017 ila sijawahi pata maji hata siku moja.
Nimeshangaa leo nimeletewa bili na deni eti nadaiwa 53,000 sasa sielewi ni la nn maana hela ya kuunganishiwa maji nililipa na maji hayajawahi kutoka tangu kipindi kile.
Sasa sielewi bili na deni ni la nn
 

Nipo Goba,, sorry
 
Kukamilika kwa miradi ya kimbiji na mpera kutaleta neema ya Maji kwa maeneo hayo na maeneo ya jirani
 
Hizo namba za huduma kwa wateja mlizoweka huwa hazipokelewi. Unaweza kupiga kutwa nzima na usijibiwe. Haya ni malalamiko ya baadhi ya Rafiki zangu waliopo Dar es Salaam
Tafadhali uko kituo gani tukutumie namba ya eneo husika
 
Sawa
 
Tunaomba Account namba yako tufatilie kwa ukaribu
 
Wahusika kama nilikuwa nalipa bill kwa Maxmalipo au Selcom bahati mbaya nikakosea akaunti namba malipo yakaenda kwenye akaunti nyingine nawezaje kurekebisha ili malipo yaende kwenye akaunti iliyokusudiwa?
Inawezekana ..fika ofisi ya dawasco unayohudumiwa ili wafanye kitu kinaitwa adjustment
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…