Tumelichukua tutakupa mrejeshoMBONA HUKU TABATA KISUKURU ENEO LA KILIMANJARO BAR KUNA TATIZO LA MUDA MREFU LA MAJI LAKINI HAKUNA SULUHISHO LICHA YA SISI WAKAZI KUTOA MALALAMIKO DAWASCO TABATA KILA MARA? MAJI YANATOKA MARA MOJA KWA MWEZI NA KILA TUNAPOWASILIANA NA WAHUSIKA BW. MAKELELE, BWANA PASCO NA INJINIA WAO JIBU NI LILE LILE KILA SIKU "KUNA MATENGENEZO KIMARA". KWA VILE SUALA HILI NI LA MUDA MREFU TUNATUMIA NJIA HII KWA SASA NA IKISHINDIKANA TUNAOMBA KWA RIDHAA YENU DAWASCO ILI TUUSHIRIKISHE UONGOZI WA MKOA TUPATIWE UFUMBUZI WA KUDUMU
Kazi ya kulaza mabomba ikikamilika tutaanza kuwatangazia wananchi waje kuunganishiwa huduma ya Majikwanza nawapa pongezi kwa Kazi nzuri mlioifanya ya kutandaza mabomba ktk maeneo mbali mbali ya DSM na Pwani,
nataka kujua taratibu ili niweze kuunganishwa kupata Huduma ya maji nyumbani, maana tangu mradi huo ukamilike mwaka jana hadi leo sioni kinacho endelea wala sijaona dawasco wakitoa taarifa
Dawasco tunafanya maunganisho chini ya mita 100 . Kwa wale walio mbali na umbali huo tunawashauri kuomba mradi kabisa wa eneo lao ili gharama isiwe kubwa sana.Mm nipo bunju A usalama
Mtandao wa maji umeishia pale kwenye kanisa la EFATHA, yaani bomba kubwa
Kutoka pale kanisani mbaka nyumbani kwangu ni umbali wa Mita kama 100
Ili nipate maji inahitajika niunganishiwe bomba kubwa kutoka pale EFATHA Kushuka bonde mbaka chini pale ni kama mita 50
alafu mm niunganishe tena hiyo mita 50 nyingine kwa bomba la kawaida dogo
Sasa Basi nilitaka kujua Coast yake endapo nitahitaji maji nyumbani kwangu yafike
au unanipa ushauri gani ? Kwa sababu huduma ya kuunganishiwa maji naitaka kweli kweli na pesa ninayo.
Asante sanaHongereni sana kwa jambo hili.
Sikujua kama na nyinyi ni member humu, kumbe mko kitambo tu tangu 2010??
Nazishauri taasisi nyingine ziige mfano huu wa kuwa na accounts kwenye mitandao ya kitanzania badala ya kwenda twitter na Instagram na Facebook
Tupatie jina ulilotumia kuombea maji na kituo cha dawasco ulichoombeaAisee niliomba kuunganishiwa maji akaja surveyor nikafuata baada ya week makadirio ya bei nilipe hadi leo week ya nne mara fomu yako iko kwa engineer mara kwa manager mara kwenda na kurudi.Najiuliza hivi watu wako serious kweli hadi lini hiyo fomu itakuwa tayari maana napoteza nauli zangu na muda bure kwa kitu ambacho mnaweza kufanya hata kwa dakika kumi.
Bado hatujafikisha huduma kongowe..kuna huduma ya visima hukoJaman wanajamvi
Naomba sanaaa kama kuna mtumishi DAwasco PWANI anisaidie naitaj kuunganishiwa maji nipo kongowe ya baada ya mbagara ya rangi Tatu!
muelezee huduma ya visima ni nini na mnahusika nayo vipi, kuacha juu juu hivyo utakuwa hujamsaidiaBado hatujafikisha huduma kongowe..kuna huduma ya visima huko
Tunaomba Account namba yakoMbona hatupati bill ya maji kupitia msg.kuna tatizo gani
Tunafuatilia tatizo tutawapa mrejeshoMakumbusho kijitonyama hatuna maji karibia wiki sasa, kulikoni
Sawa asante, tutegemee majibu baada ya muda gani mkuu?Tunafuatilia tatizo tutawapa mrejesho
Hali ya huduma imeshaanza kutengamaa kwa baadhi ya maeneo. Hivyo huduma ya Maji imesharejeaSawa asante, tutegemee majibu baada ya muda gani mkuu?
Tusaidie Ac yako pamoja na mawasiliano yako tuweze kuweka kwenye systemNawezaje kupata bill yangu ya maji? Situmiwi notification kwenye simu huu mwezi wa nne sasa
Tunafuatilia tutakupa mrejeshoIvi Dawasco Tabata wako serious kweli? Kama mmeshindwa kununua hizo rola za bomba za maji kutoka St Rosalia kufikisha kwa wananchi zaidi ya 100 waliokwisha jaza fomu huu sasa mwaka basi njooni mtuchangishe tununue ili tupate maji. Ni aibu kwenu kama ofisi pale mlipoliachia bomba wakati mnajua walioomba waliko.