vipik2
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 2,845
- 2,258
Hongereni kwa kuongeza na kuweza kugawa maji kila siku kibaha na kwa pressure kubwa, tatizo kubwa lililojitokeza ni mabomba kupasuka hovyo sababu ya uchakavu, ombi langu wakati huu wa mvua muendelee na mgawo ili muweze ku spot sehemu zote mbovu na mzifanyie matengenezo ili hapo baadae mtakapotoa huduma 24/7 basi pawe na upotevu kidogo wa maji kuliko hivi sasa, vijana wenu wanajali tu endapo bomba kubwa limepasuka na si haya madogomadogo ya mtaani... pamoja na yote Hongereni