Kwenu Dawasa, kwanza nawashukuru eneo nilipo napata maji bila shida,ila kuna tatizo moja inabidi mlifanyie kazi nadhani hii ni Customer care unit, kwa kweli ni makwazo sana na fedheha mtaani, mimi ni mteja wenu nalipa bill kila mwezi na sijawahi kulaza au kuacha kulipa, napata bill kwa wakati. ajabu , wiki 2 baada ya kupata bill wanakuja watu kukata maji sasa hua nashangaa sana, hivi mimi nakua na hela muda wote mfukoni yakulipa maji tu sina mahitaji mengine?
kwani ukija ukagonga ukanikumbusha haitoshi mpaka ujaze watu mtaani wajue kuwa nadaiwa. yaani ni kero sana wakt mwingine ni shs 5000/ imebaki, hebu jirekebisheni, hasa TBT .
kwani ukija ukagonga ukanikumbusha haitoshi mpaka ujaze watu mtaani wajue kuwa nadaiwa. yaani ni kero sana wakt mwingine ni shs 5000/ imebaki, hebu jirekebisheni, hasa TBT .