Aliweka sheria hizo lakini maji hayakukatika DSM yote hata siku moja kwa muda wote ambao alikuwa madarakani.Sheria za mwendakuzimu hizi. Inabidi bunge lifanye kazi ya ziada kuondoa hizi sheria zilizowekwa na awamu ya 5. Zilikuwa sheria za hovyo za kidikteta. DAWASA hawana makosa... wabunge waliotunga hiyo sheria na Rais aliyeisaini ndo wakulaumiwa.
Mtalalamika sana lakini hakuna kitu mnaweza fanya huo ndio uzuriHii nchi ina laana sio bure.
Huo mfumo wanaodai umesambaa unaweza kaa wiki nzima bila ya maji.
Imekuwa kama vile utawala unapata faraja kwa watu kutaabika.
Mtalalamika sana lakini hakuna kitu mnaweza fanya huo ndio uzuri.Duh
Siku za mwisho Watu watajikita Kwenye kuoa na kuolewa
Mtalalamika sana lakini hakuna kitu mnaweza fanya huo ndio uzuriHao ndio CCM wanaongoza taifa miaka 40 ila bado story ya maji safi na salama zinaendelea. Je ikitokea muda mvua zikagoma miezi 5 tumejipanga vipi?.
Tanzania tumebarikiwa maziwa, vijito na ardhi yenye maji ila ni ujanja ujanja tu
Mtalalamika sana lakini hakuna kitu mnaweza fanya huo ndio uzuriMaji yenyewe hayatoshelezi halafu wanapiga marufuku usambazaji...
Ah kbisa huo ndiyo ukweliMtalalamika sana lakini hakuna kitu mnaweza fanya huo ndio uzuri
Umetumia haki yango ya msingi ya free speech ukijumlisha na bundle lako sasa mimi nani nikupinge?Mtalalamika sana lakini hakuna kitu mnaweza fanya huo ndio uzuri
Kwenye ugumu,wanapenda kuongeza ugumuYaaani kuna mgao wa maji, halafu watu binafsi wanaambiwa wasisambazi maji?!
embu nifafanulie huyo private supplier nitampata vipi?na yy anatumia maji kutoka vyanzo gani?na wao wanasambaza mabomba au unaletewa na magari?Wasambazaji binafsi maji hayakatiki hata siku moja na bill zao rafiki kwa watumiaji
Katika mashirika mabovu nchi hii ni Tanesco, TTCL na Hizo mamlaka za maji
Soko lipo ila ukiritimba na kuvuta miguu
Mfano TTCL ilikuwa ndio kampuni pekee ya Simu
Mimi niliomba kufungiwa nilikaa Miaka mitatu bila kufungiwa zilizokuja simu za mkononi nilienda personally kwenda ku cancel ombi kuwa mizimu yao ya midway sitaki tena.
Dawasa jiji lote soko lilikuwa lao lakini kufungiwa shida na mirushwa kibao ubabaishaji mwingi.
Mimi bomba la Dawasa linapita mlangoni kwangu lakini niligoma kuunga natumia private supplier toka afunge maji hayajawahi kukatika.
.Mamlaka ya Huduma za Usambazaji wa Maji na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam(DAWASA) imetoa agizo la kusitisha biashara ya usambazaji wa maji ya visima katika baadhi ya maeneo ya jiji la Dar es salaam ndani ya siku thelathini (30) kabla hatua kali za kisheria hazijachukuliwa kwa wahusika.
Agizo hili linatokana na kupanuka na kuongezeka kwa wigo wa miundombinu ya DAWASA katika kufikia wateja wengi ambao awali walikuwa hawawezi kupata huduma hii pamoja na ukiukwaji wa sheria ya huduma za usambazaji wa maji ya kisima kinyume cha Sheria ya huduma ya usambazaji maji na usafi wa mazingira Namba 5 ya mwaka 2019 ambapo imepiga marufuku mtu yoyote kujihusisha na usambazji wa maji isipokuwa mamlaka husika tu.
Oktoba 25, 2022, Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla alithibitisha uwepo wa upungufu mkubwa wa maji mto Ruvu, hivyo kuwataka wakazi wa jiji hilo wajiandae na mgao wa maji.
View attachment 2398198
Kuhusu uwepo wa mgao wa maji kwenye jiji la Dar es salaam unaweza kusoma hapa: Rasmi Dar yakumbwa na uhaba wa Maji, RC Makalla athibitisha uwepo wa Mgao
Matajiri wakisikia maji ya visima, hudhani ni kwa ajili ya watu wa uswahilini, sasa cha moto wanakiona.Huko si ndio kwa matajiri? Wanashindwa nini kuchimba na wao?