DC aingilia kati mgogoro wa Wananchi na Luhaga Mpina mkoani Morogoro

DC aingilia kati mgogoro wa Wananchi na Luhaga Mpina mkoani Morogoro

Kweli ukiangalia kwa makini hakuna tusi isipokuwa ni kwamba DC amenesha kwamba amekerwa na comment ya L. Mpina kukiita kikao hicho ni kikao cha harusi.
kiongozi anatakiwa kuwa mtahimilivu na siyo nervous.
 
Mkuu wa wilaya Rebeca Sanga nikuambie Luhanga Mpina ndiye Rais ajaye, linda ULIMI WAKO
Hata ally happy alijua yeye yupo kuliko hata uwepo wenyewe, kuchunga ulimi ni jambo jema sana kwakweli maana huwezi umtukanae leo kesho atakuwa nani kwako.
 
Back
Top Bottom