DC aingilia kati mgogoro wa Wananchi na Luhaga Mpina mkoani Morogoro

DC aingilia kati mgogoro wa Wananchi na Luhaga Mpina mkoani Morogoro

Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, Rebeca Sanga amemporomoshea matusi ya nguoni Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina akimuita ni mwanamke (MWALI) huku wananchi wakipigwa na butwaa kubwa kulikoni tena DC kiongozi wa serikali kuanza kutukana watu hadharani.

"Namuagiza Luhaga Mpina huko aliko kama yeye amesema hiki ni kikao cha harusi basi MWALI atakuwa yeye MPINA" Tarehe 29/05/2023 kwenye mkutano wa hadhara kijiji cha DALA.
---

Mkuu wa wilaya ya Morogoro Rebeca Nsemwa ameunda timu ya wataalamu nakuipa siku 14 kuchunguza malalamiko ya wananchi wa Vijiji Vitatu vya Dalla ,Mbwade na Kongwa wilayani Morogoro baada ya kudai kuvamiwa kwa njia za udanganyifu ardhi yao yenye ukubwa wa zaidi wa ekari 1000 na mwekezaji Luaga Mpina.

Mkuu huyo wa wilaya amesema hayo ikiwa ni siku moja baada ya taarifa za wananchi hao kusambaa katika vyombo mbalimbali vya habari wakiomba Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt SAMIA SULUHU HASSAN kuingilia kati mgogoro huo uliodumu kwa zaidi ya miaka 12 bila ya mafanikio.

Akizungumza na wananchi hao mara baada ya kupokelewa kwa mabango yanayoshinikiza kumkataa mwekezaji huyo LUAGA MPINA wananchi hao wamelalamika kukosa ardhi ya kilimo kwakuwa asilimia kubwa wamekuwa wakitegemea kilimo kuendesha maisha yao ya kila siku.

Aidha wameiomba serikali kupima ardhi yote inayoshikiliwa na mwekezaji huyo pamoja na mipaka ili kujua ukubwa halisi wa ardhi anayoikalia kwa njia za udanganyifu tangu mwaka 2009.

Kufuatia malalamiko hayo,mkuu wa wilaya ya Morogoro REBECA NSEMA amelazimika kuunda timu ya wataalamu watakaofanya kazi ya kupima eneo lote linalokaliwa na mwekezaji huyo ndani ya siku kumi na nne ili kuweza kutoa haki kwa pande zote mbili.

Aidha mkuu huyo wa wilaya ametaka mwekezaji Luaga Mpina kutoa ushirikiano kwa timu hiyo na kuwasilisha nyaraka zote zinazompa uhalali wa kumiliki aradhi hiyo inayolalamikiwa na wananchi kwa muda mrefu.

Ni hila za wahuni tu. Ukifanyika uchunguzi utakuta kama desturi yao wamemwaga hela kumchafua mpina kwa jinsi anavyowabana kwa hoja bungeni. Mgogoro wa miaka 12 kwa nini ulipuke saa hizi kama vile ni jambo la juzi.
 
Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, Rebeca Sanga amemporomoshea matusi ya nguoni Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina akimuita ni mwanamke (MWALI) huku wananchi wakipigwa na butwaa kubwa kulikoni tena DC kiongozi wa serikali kuanza kutukana watu hadharani.

"Namuagiza Luhaga Mpina huko aliko kama yeye amesema hiki ni kikao cha harusi basi MWALI atakuwa yeye MPINA" Tarehe 29/05/2023 kwenye mkutano wa hadhara kijiji cha DALA.
---

Mkuu wa wilaya ya Morogoro Rebeca Nsemwa ameunda timu ya wataalamu nakuipa siku 14 kuchunguza malalamiko ya wananchi wa Vijiji Vitatu vya Dalla ,Mbwade na Kongwa wilayani Morogoro baada ya kudai kuvamiwa kwa njia za udanganyifu ardhi yao yenye ukubwa wa zaidi wa ekari 1000 na mwekezaji Luaga Mpina.

Mkuu huyo wa wilaya amesema hayo ikiwa ni siku moja baada ya taarifa za wananchi hao kusambaa katika vyombo mbalimbali vya habari wakiomba Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt SAMIA SULUHU HASSAN kuingilia kati mgogoro huo uliodumu kwa zaidi ya miaka 12 bila ya mafanikio.

Akizungumza na wananchi hao mara baada ya kupokelewa kwa mabango yanayoshinikiza kumkataa mwekezaji huyo LUAGA MPINA wananchi hao wamelalamika kukosa ardhi ya kilimo kwakuwa asilimia kubwa wamekuwa wakitegemea kilimo kuendesha maisha yao ya kila siku.

Aidha wameiomba serikali kupima ardhi yote inayoshikiliwa na mwekezaji huyo pamoja na mipaka ili kujua ukubwa halisi wa ardhi anayoikalia kwa njia za udanganyifu tangu mwaka 2009.

Kufuatia malalamiko hayo,mkuu wa wilaya ya Morogoro REBECA NSEMA amelazimika kuunda timu ya wataalamu watakaofanya kazi ya kupima eneo lote linalokaliwa na mwekezaji huyo ndani ya siku kumi na nne ili kuweza kutoa haki kwa pande zote mbili.

Aidha mkuu huyo wa wilaya ametaka mwekezaji Luaga Mpina kutoa ushirikiano kwa timu hiyo na kuwasilisha nyaraka zote zinazompa uhalali wa kumiliki aradhi hiyo inayolalamikiwa na wananchi kwa muda mrefu.

Mkuu wa wilaya Rebeca Sanga nikuambie Luhanga Mpina ndiye Rais ajaye, linda ULIMI WAKO
 
Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, Rebeca Sanga amemporomoshea matusi ya nguoni Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina akimuita ni mwanamke (MWALI) huku wananchi wakipigwa na butwaa kubwa kulikoni tena DC kiongozi wa serikali kuanza kutukana watu hadharani.

"Namuagiza Luhaga Mpina huko aliko kama yeye amesema hiki ni kikao cha harusi basi MWALI atakuwa yeye MPINA" Tarehe 29/05/2023 kwenye mkutano wa hadhara kijiji cha DALA.
---

Mkuu wa wilaya ya Morogoro Rebeca Nsemwa ameunda timu ya wataalamu nakuipa siku 14 kuchunguza malalamiko ya wananchi wa Vijiji Vitatu vya Dalla ,Mbwade na Kongwa wilayani Morogoro baada ya kudai kuvamiwa kwa njia za udanganyifu ardhi yao yenye ukubwa wa zaidi wa ekari 1000 na mwekezaji Luaga Mpina.

Mkuu huyo wa wilaya amesema hayo ikiwa ni siku moja baada ya taarifa za wananchi hao kusambaa katika vyombo mbalimbali vya habari wakiomba Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt SAMIA SULUHU HASSAN kuingilia kati mgogoro huo uliodumu kwa zaidi ya miaka 12 bila ya mafanikio.

Akizungumza na wananchi hao mara baada ya kupokelewa kwa mabango yanayoshinikiza kumkataa mwekezaji huyo LUAGA MPINA wananchi hao wamelalamika kukosa ardhi ya kilimo kwakuwa asilimia kubwa wamekuwa wakitegemea kilimo kuendesha maisha yao ya kila siku.

Aidha wameiomba serikali kupima ardhi yote inayoshikiliwa na mwekezaji huyo pamoja na mipaka ili kujua ukubwa halisi wa ardhi anayoikalia kwa njia za udanganyifu tangu mwaka 2009.

Kufuatia malalamiko hayo,mkuu wa wilaya ya Morogoro REBECA NSEMA amelazimika kuunda timu ya wataalamu watakaofanya kazi ya kupima eneo lote linalokaliwa na mwekezaji huyo ndani ya siku kumi na nne ili kuweza kutoa haki kwa pande zote mbili.

Aidha mkuu huyo wa wilaya ametaka mwekezaji Luaga Mpina kutoa ushirikiano kwa timu hiyo na kuwasilisha nyaraka zote zinazompa uhalali wa kumiliki aradhi hiyo inayolalamikiwa na wananchi kwa muda mrefu.

Hatari
 
Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, Rebeca Sanga amemporomoshea matusi ya nguoni Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina akimuita ni mwanamke (MWALI) huku wananchi wakipigwa na butwaa kubwa kulikoni tena DC kiongozi wa serikali kuanza kutukana watu hadharani.

"Namuagiza Luhaga Mpina huko aliko kama yeye amesema hiki ni kikao cha harusi basi MWALI atakuwa yeye MPINA" Tarehe 29/05/2023 kwenye mkutano wa hadhara kijiji cha DALA.
---

Mkuu wa wilaya ya Morogoro Rebeca Nsemwa ameunda timu ya wataalamu nakuipa siku 14 kuchunguza malalamiko ya wananchi wa Vijiji Vitatu vya Dalla ,Mbwade na Kongwa wilayani Morogoro baada ya kudai kuvamiwa kwa njia za udanganyifu ardhi yao yenye ukubwa wa zaidi wa ekari 1000 na mwekezaji Luaga Mpina.

Mkuu huyo wa wilaya amesema hayo ikiwa ni siku moja baada ya taarifa za wananchi hao kusambaa katika vyombo mbalimbali vya habari wakiomba Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt SAMIA SULUHU HASSAN kuingilia kati mgogoro huo uliodumu kwa zaidi ya miaka 12 bila ya mafanikio.

Akizungumza na wananchi hao mara baada ya kupokelewa kwa mabango yanayoshinikiza kumkataa mwekezaji huyo LUAGA MPINA wananchi hao wamelalamika kukosa ardhi ya kilimo kwakuwa asilimia kubwa wamekuwa wakitegemea kilimo kuendesha maisha yao ya kila siku.

Aidha wameiomba serikali kupima ardhi yote inayoshikiliwa na mwekezaji huyo pamoja na mipaka ili kujua ukubwa halisi wa ardhi anayoikalia kwa njia za udanganyifu tangu mwaka 2009.

Kufuatia malalamiko hayo,mkuu wa wilaya ya Morogoro REBECA NSEMA amelazimika kuunda timu ya wataalamu watakaofanya kazi ya kupima eneo lote linalokaliwa na mwekezaji huyo ndani ya siku kumi na nne ili kuweza kutoa haki kwa pande zote mbili.

Aidha mkuu huyo wa wilaya ametaka mwekezaji Luaga Mpina kutoa ushirikiano kwa timu hiyo na kuwasilisha nyaraka zote zinazompa uhalali wa kumiliki aradhi hiyo inayolalamikiwa na wananchi kwa muda mrefu.

Aya mambo tusubili , kwamba ukambale umerudi tz mpina hatakiwi kumjibu lolote
 
Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, Rebeca Sanga amemporomoshea matusi ya nguoni Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina akimuita ni mwanamke (MWALI) huku wananchi wakipigwa na butwaa kubwa kulikoni tena DC kiongozi wa serikali kuanza kutukana watu hadharani.

"Namuagiza Luhaga Mpina huko aliko kama yeye amesema hiki ni kikao cha harusi basi MWALI atakuwa yeye MPINA" Tarehe 29/05/2023 kwenye mkutano wa hadhara kijiji cha DALA.
---

Mkuu wa wilaya ya Morogoro Rebeca Nsemwa ameunda timu ya wataalamu nakuipa siku 14 kuchunguza malalamiko ya wananchi wa Vijiji Vitatu vya Dalla ,Mbwade na Kongwa wilayani Morogoro baada ya kudai kuvamiwa kwa njia za udanganyifu ardhi yao yenye ukubwa wa zaidi wa ekari 1000 na mwekezaji Luaga Mpina.

Mkuu huyo wa wilaya amesema hayo ikiwa ni siku moja baada ya taarifa za wananchi hao kusambaa katika vyombo mbalimbali vya habari wakiomba Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt SAMIA SULUHU HASSAN kuingilia kati mgogoro huo uliodumu kwa zaidi ya miaka 12 bila ya mafanikio.

Akizungumza na wananchi hao mara baada ya kupokelewa kwa mabango yanayoshinikiza kumkataa mwekezaji huyo LUAGA MPINA wananchi hao wamelalamika kukosa ardhi ya kilimo kwakuwa asilimia kubwa wamekuwa wakitegemea kilimo kuendesha maisha yao ya kila siku.

Aidha wameiomba serikali kupima ardhi yote inayoshikiliwa na mwekezaji huyo pamoja na mipaka ili kujua ukubwa halisi wa ardhi anayoikalia kwa njia za udanganyifu tangu mwaka 2009.

Kufuatia malalamiko hayo,mkuu wa wilaya ya Morogoro REBECA NSEMA amelazimika kuunda timu ya wataalamu watakaofanya kazi ya kupima eneo lote linalokaliwa na mwekezaji huyo ndani ya siku kumi na nne ili kuweza kutoa haki kwa pande zote mbili.

Aidha mkuu huyo wa wilaya ametaka mwekezaji Luaga Mpina kutoa ushirikiano kwa timu hiyo na kuwasilisha nyaraka zote zinazompa uhalali wa kumiliki aradhi hiyo inayolalamikiwa na wananchi kwa muda mrefu.

MH.MBUNGE LUHANGA mfungulie KESI huyo DC akulipe kama MUSIBA
 
Kama namwona msukuma Mpina atakavyomjibu huyu mwanamke
 
Kwa kuwa Mpina ni kiongozi nilitegemea DC angeongea naye kwa simu ndipo aseme hayo aliyosema kuwa kama Mpina katamka hayo maneno .....
 
Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, Rebeca Sanga amemporomoshea matusi ya nguoni Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina akimuita ni mwanamke (MWALI) huku wananchi wakipigwa na butwaa kubwa kulikoni tena DC kiongozi wa serikali kuanza kutukana watu hadharani.

"Namuagiza Luhaga Mpina huko aliko kama yeye amesema hiki ni kikao cha harusi basi MWALI atakuwa yeye MPINA" Tarehe 29/05/2023 kwenye mkutano wa hadhara kijiji cha DALA.
---

Mkuu wa wilaya ya Morogoro Rebeca Nsemwa ameunda timu ya wataalamu nakuipa siku 14 kuchunguza malalamiko ya wananchi wa Vijiji Vitatu vya Dalla ,Mbwade na Kongwa wilayani Morogoro baada ya kudai kuvamiwa kwa njia za udanganyifu ardhi yao yenye ukubwa wa zaidi wa ekari 1000 na mwekezaji Luaga Mpina.

Mkuu huyo wa wilaya amesema hayo ikiwa ni siku moja baada ya taarifa za wananchi hao kusambaa katika vyombo mbalimbali vya habari wakiomba Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt SAMIA SULUHU HASSAN kuingilia kati mgogoro huo uliodumu kwa zaidi ya miaka 12 bila ya mafanikio.

Akizungumza na wananchi hao mara baada ya kupokelewa kwa mabango yanayoshinikiza kumkataa mwekezaji huyo LUAGA MPINA wananchi hao wamelalamika kukosa ardhi ya kilimo kwakuwa asilimia kubwa wamekuwa wakitegemea kilimo kuendesha maisha yao ya kila siku.

Aidha wameiomba serikali kupima ardhi yote inayoshikiliwa na mwekezaji huyo pamoja na mipaka ili kujua ukubwa halisi wa ardhi anayoikalia kwa njia za udanganyifu tangu mwaka 2009.

Kufuatia malalamiko hayo,mkuu wa wilaya ya Morogoro REBECA NSEMA amelazimika kuunda timu ya wataalamu watakaofanya kazi ya kupima eneo lote linalokaliwa na mwekezaji huyo ndani ya siku kumi na nne ili kuweza kutoa haki kwa pande zote mbili.

Aidha mkuu huyo wa wilaya ametaka mwekezaji Luaga Mpina kutoa ushirikiano kwa timu hiyo na kuwasilisha nyaraka zote zinazompa uhalali wa kumiliki aradhi hiyo inayolalamikiwa na wananchi kwa muda mrefu.

haya ndo madhara ya kupeana madaraka kwa urafiki.siamini mkuu wa wilaya kama anaweza kuongea maneno haya ya mtaani.nilitegemea kuona mkuu wa wilaya anahimili na kujizuia maneno ya mhemko.Iwezekana pia ni utoto wa mkuu huyo wa wilaya ndo maana tunasema wanaopewa madaraka wawe matured kimwili na kiakili.
 
Back
Top Bottom