DC aingilia kati mgogoro wa Wananchi na Luhaga Mpina mkoani Morogoro

DC aingilia kati mgogoro wa Wananchi na Luhaga Mpina mkoani Morogoro

Hakuna tusi la nguoni hapo,kama Mpina alisema kuwa kikao hicho cha wananchi na DC ni sawa na kikao cha harusi basi DC alikuwa sahihi kusema Mpina ndiye mwali kwani ndiye mhusika mkuu katika sakata hilo.
 
Rebecca Sanga=Deo Sanga=Mwingulu Nchemba

What do u expect?

Mwingulu January na Nape wasipoangaliwa kwa macho matatu, wataharibu kbs taswira ya jithada ya Mh. Rais!
Sanga mbona ni jina common sana kwa Wakinga ni kama Mabula kwa wasukuma au Marwa kwa Wakurya, haina maana kwamba ni ndugu
 
waporaji wa ardhi wako mahakamani wewe hujiulizi suala hili ni la mwaka 2009 ndio lisemwe leo kwa sababu ya kuhoji mambo ya wananchi bungeni na kupinga ufisadi? mwaka 2009 RAIS alikuwa Jakaya Mrisho Kikwete, Makamu wa Rais Dk. Mohamed Gharib Bilal, Waziri Mkuu Mizengo Pinda, Mkuu wa Majeshi Davis Mwamunyange, IGP Said Mwema... akaja Rais Dk. John Magufuli na Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu Majaliwa, Mkuu wa majeshi Mabeyo, IGP Sirro, na sasa Rais ni Samia, Makamu wa Rais, Dk. Mpango, Waziri Mkuu Majaliwa, Mkuu wa majeshi, Mkunda, IGP Wambura........ WAKUU wa mikoa Morogoro wakati mpina anaingia Mkuu wa Mkoa ni Said bin Said Kalembo (Meja Jeneral Mstaafu), akaja Issa Salehe Machibya
(Luteni Kanali Mstaafu), akaja Joel Nkaya Bendera, akaja Rajab Mtumwa Rutengwe, akaja Kebwe Steven Kebwe, akaja Loata Erasto Olesanare, Martine Reuben Shigela, akaja Fatma Abubakari Mwassa na sasa Adam Malima.......viongozi wote hao wamuangalie tu mpina anapora ardhi za wananchi?
 
Mpina ni fisadi aliyebebwa na jiwe sababu ya uswahiba
Mafisadi wako mahakamani na wengine wako magerezani.... wewe hujiulizi suala hili ni la mwaka 2009 ndio lisemwe leo kwa sababu tu ya kuhoji mambo muhimu ya kitaifa bungeni na kupinga ufisadi hadharani? mwaka 2009 RAIS alikuwa Jakaya Mrisho Kikwete, Makamu wa Rais Dk. Mohamed Gharib Bilal, Waziri Mkuu Mizengo Pinda, Mkuu wa Majeshi Davis Mwamunyange, IGP Said Mwema... akaja Rais Dk. John Magufuli na Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu Majaliwa, Mkuu wa majeshi Mabeyo, IGP Sirro, na sasa Rais ni Samia, Makamu wa Rais, Dk. Mpango, Waziri Mkuu Majaliwa, Mkuu wa majeshi, Mkunda, IGP Wambura........ WAKUU wa mikoa Morogoro wakati mpina anaingia Mkuu wa Mkoa ni Said bin Said Kalembo (Meja Jeneral Mstaafu), akaja Issa Salehe Machibya
(Luteni Kanali Mstaafu), akaja Joel Nkaya Bendera, akaja Rajab Mtumwa Rutengwe, akaja Kebwe Steven Kebwe, akaja Loata Erasto Olesanare, Martine Reuben Shigela, akaja Fatma Abubakari Mwassa na sasa Adam Malima.......viongozi wote hao wamuangalie tu mpina anapora ardhi za wananchi?
 
Mafisadi wako mahakamani na wengine wako magerezani.... wewe hujiulizi suala hili ni la mwaka 2009 ndio lisemwe leo kwa sababu tu ya kuhoji mambo muhimu ya kitaifa bungeni na kupinga ufisadi hadharani? mwaka 2009 RAIS alikuwa Jakaya Mrisho Kikwete, Makamu wa Rais Dk. Mohamed Gharib Bilal, Waziri Mkuu Mizengo Pinda, Mkuu wa Majeshi Davis Mwamunyange, IGP Said Mwema... akaja Rais Dk. John Magufuli na Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu Majaliwa, Mkuu wa majeshi Mabeyo, IGP Sirro, na sasa Rais ni Samia, Makamu wa Rais, Dk. Mpango, Waziri Mkuu Majaliwa, Mkuu wa majeshi, Mkunda, IGP Wambura........ WAKUU wa mikoa Morogoro wakati mpina anaingia Mkuu wa Mkoa ni Said bin Said Kalembo (Meja Jeneral Mstaafu), akaja Issa Salehe Machibya
(Luteni Kanali Mstaafu), akaja Joel Nkaya Bendera, akaja Rajab Mtumwa Rutengwe, akaja Kebwe Steven Kebwe, akaja Loata Olesanare, Martine Reuben Shigela, akaja Fatma Abubakari Mwassa na sasa Adam Malima.......viongozi wote hao wamuangalie tu mpina anapora ardhi za wananchi?
Nyie watu jiwe aliondoka na akili zenu

Mgogoro uliokuwepo kipindi cha jiwe, mtetezi feki wa wanyonge ila hakumgusa sababu ya uswahiba

 
Mwenye CV na DC wa Morogoro, Rebecca Sanga aliyemwita Mpina ni MWALI.

Nimeona huyu DC anazidi kupata umaarufu mkubwa kwa kumuita mpina mwali anatamba mitandao karibu yote.

Naomba mwenye cv yake ya uongozi.
Huyo alikuwa Muuza bar CV utaipata wapi!
 
Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, Rebeca Sanga amemporomoshea matusi ya nguoni Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina akimuita ni mwanamke (MWALI) huku wananchi wakipigwa na butwaa kubwa kulikoni tena DC kiongozi wa serikali kuanza kutukana watu hadharani.

"Namuagiza Luhaga Mpina huko aliko kama yeye amesema hiki ni kikao cha harusi basi MWALI atakuwa yeye MPINA" Tarehe 29/05/2023 kwenye mkutano wa hadhara kijiji cha DALA.
---

Mkuu wa wilaya ya Morogoro Rebeca Nsemwa ameunda timu ya wataalamu nakuipa siku 14 kuchunguza malalamiko ya wananchi wa Vijiji Vitatu vya Dalla ,Mbwade na Kongwa wilayani Morogoro baada ya kudai kuvamiwa kwa njia za udanganyifu ardhi yao yenye ukubwa wa zaidi wa ekari 1000 na mwekezaji Luaga Mpina.

Mkuu huyo wa wilaya amesema hayo ikiwa ni siku moja baada ya taarifa za wananchi hao kusambaa katika vyombo mbalimbali vya habari wakiomba Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt SAMIA SULUHU HASSAN kuingilia kati mgogoro huo uliodumu kwa zaidi ya miaka 12 bila ya mafanikio.

Akizungumza na wananchi hao mara baada ya kupokelewa kwa mabango yanayoshinikiza kumkataa mwekezaji huyo LUAGA MPINA wananchi hao wamelalamika kukosa ardhi ya kilimo kwakuwa asilimia kubwa wamekuwa wakitegemea kilimo kuendesha maisha yao ya kila siku.

Aidha wameiomba serikali kupima ardhi yote inayoshikiliwa na mwekezaji huyo pamoja na mipaka ili kujua ukubwa halisi wa ardhi anayoikalia kwa njia za udanganyifu tangu mwaka 2009.

Kufuatia malalamiko hayo,mkuu wa wilaya ya Morogoro REBECA NSEMA amelazimika kuunda timu ya wataalamu watakaofanya kazi ya kupima eneo lote linalokaliwa na mwekezaji huyo ndani ya siku kumi na nne ili kuweza kutoa haki kwa pande zote mbili.

Aidha mkuu huyo wa wilaya ametaka mwekezaji Luaga Mpina kutoa ushirikiano kwa timu hiyo na kuwasilisha nyaraka zote zinazompa uhalali wa kumiliki aradhi hiyo inayolalamikiwa na wananchi kwa muda mrefu.

Mwanamke kama huyu wachache sana nchi hii😍😍
 
Back
Top Bottom