Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
CCM wote ni mafisadiwapangwe wa nini, Mpina hana ubavu wa kuipelekesha serikali yule ni fisadi tu waxha ashughulikiwe hana akili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM wote ni mafisadiwapangwe wa nini, Mpina hana ubavu wa kuipelekesha serikali yule ni fisadi tu waxha ashughulikiwe hana akili
Hata km ndo yeye mpina awe na hekari 1k? Huu si ufisadi kabisaaa wa rasilimali za wananchii??Aliyeandika mabango ni mtu mmoja, tutashindwaje kusema hizi ni njama za kipumbavu za CCM?
Hujui kituumeona kuna mtu anafanya kampeni hapo, siasa iko wapi
Rebecca Sanga=Deo Sanga=Mwingulu NchembaMkuu wa Wilaya ya Morogoro, Rebeca Sanga amemporomoshea matusi ya nguoni Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina akimuita ni mwanamke (MWALI)...
meeditiwa DC hawezi kusema hayo maneno..anajua taratibu mnataka kumchafuliaMbona kasisitiza vizuri tu hapo shida nini? Hizi siasa hata huyo Mpina kaziishi enzi za Jiwe hana jipya ni lijizi tu kama majizi mengine.
Aya mambo ya kuongozwa na Wanawake,sisi kwetu Somalia na Afghanistan ni marufuku!Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, Rebeca Sanga amemporomoshea matusi ya nguoni Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina akimuita ni mwanamke (MWALI) huku wananchi wakipigwa na butwaa kubwa kulikoni tena DC kiongozi wa serikali kuanza kutukana watu hadharani...
Hakuna Editting yyt hapo, Hao ndo aina ya viongozi tena walio vetted!hii crip imeeditiwa DC hawezi kusema hayo maneno..anajua taratibu mnataka kumchafulia
Acha usanii we dogomeeditiwa DC hawezi kusema hayo maneno..anajua taratibu mnataka kumchafulia
Kweli ukiangalia kwa makini hakuna tusi isipokuwa ni kwamba DC amenesha kwamba amekerwa na comment ya L. Mpina kukiita kikao hicho ni kikao cha harusi.mimi sijaona tusi hapo labda kama mna bifu na huyu mkuu wa wilaya