Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Simple Mpina aachane na hilo shamba then tuone wataanza movie gani, awapige humo humo..Luhaga Mpina anaenda kufanyiwa kile alichofanyiwa Frederick Sumaye na kina Makonda, na Lukuvi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simple Mpina aachane na hilo shamba then tuone wataanza movie gani, awapige humo humo..Luhaga Mpina anaenda kufanyiwa kile alichofanyiwa Frederick Sumaye na kina Makonda, na Lukuvi.
Asante kwa kujaTumekuja kumnasua
Simple Mpina aachane na hilo shamba then tuone wataanza movie gani, awapige humo humo
System imekamatwa na mafisadi hakuna namna..akianza kupoteza mali familia itamlilia na mwisho atasallimu amri.
..moja ya sababu iliyomrudisha Sumaye Ccm ni kilio na lawama za familia kuhusu mali allizonyang'anywa kwasabau ya kuwa mpinzani.
😂😂😂Waziri wa Nishati, Januari Makamba na Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba hawahusiki kufadhili fedha kwa ajili ya mpango huo wa kumchafua Mpina.
Hata kama Mkuu wa Wilaya ya Morogoro ni NDUGU YAKE NA FESTO SANGA ambaye ni MSAIDIZI wa MWIGULU NCHEMBA lakini mh mwigulu hahusiki na kuratibu suala hilo kwani yuko bize kuandaa bajeti kuu ya serikali na mh Makamba naye yuko bize na kuandaa bajeti yake kesho bungeni.
"hizo tuhuma kwamba Mwigulu na Makamba ndio wamefadhili huo mkutano wa kumchafua mpina sio wa kweli na vyombo vipo vinaweza kuchunguza kujua ukweli wa jambo hilo, hiyo ni ziara ya kawaida ya mkuu wa wilaya ya morogoro kusikiliza kero za wananchi" amesema mmoja wa watu wa karibu wa makamba na mwigulu.
Baada ya taarifa hiyo kutoka kwenye vyombo vya habari watanzania wengi waliihusisha na mambo ya kisiasa na kuwayaja mwigulu nchemba na makamba kuwa ndio wametoa pesa nyingi kulipa waandishi wa habari na kuwalipa watu wa kuongea kwenye mkutano.
Kinyeo chakoAcha upumbavu. Mabango aandike mtu mmoja halafu uwabebeshe wapumbavu kumi!!? Wewe unaona ni sawa hiyo? Au hujui kwanini iwe Mpina na wala siyo Wahuni?
Kabisa mkuuWahusika wakuu hapa ni Mwigulu, Bashe, Makamba, Aweso, Ummy na Nape
umeona kuna mtu anafanya kampeni hapo, siasa iko wapiSiasa za kijinga na kizamani
ukweli ni upipropaganda za kipumbavu bora andazi kuliko CCM.
usilinganishe majambazi na mama wa watu anayetimiza wajibu wake, hapo amekosea nini yeye ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi ya hiyo wilayaHuyo DC awe makini Saisa anazozofanya yeye zilifanywa na kina sabaya na makonda awamu ya Tano na wote wameishia kubaya
we umelipwa kiasi gani kuandika huo upupuHao manamba mliowapa hayo mabango mmewalipa bei gani?
wapangwe wa nini, Mpina hana ubavu wa kuipelekesha serikali yule ni fisadi tu waxha ashughulikiwe hana akiliNiliangalia hii taarifa kupitia ITV ukiwa na akili timamu unajua bila shaka wale wananchi wamepangwa ila sijui ni kwa kusufio gani pengine ni vile Mpina anavyowapelekea moto huko bungeni.
Hata akina sabaya wakati huo walikuwa na machawa wanaowatetea kama weweusilinganishe majambazi na mama wa watu anayetimiza wajibu wake, hapo amekosea nini yeye ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi ya hiyo wilaya
Igizo la kipumbavu sana hili kuwahi kutokeaMKUU wa Wilaya ya Morogoro,Rebeca Nsemwa,amejikuta akipokelewa na Mabango pamoja na vilio kutoka kwa wananchi wa Vijiji vya Dalla tarafa ya Bwakira na Mbwade tarafa ya Mvuha katika Halmashauri ya wilaya ya Morogoro wakishinikiza kurudishiwa ardhi yao ekari zaidi ya 1000 zinazodaiwa kuchukuliwa bila kufuata utaratibu na aliyekuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi Luhaga Mpina.
Wananchi waliokusanya katika kijiji cha Dalla walisimamisha msafara wa Mkuu wa wilaya hiyo na wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama ukiwa njiani kuelekea kwenye mkutano na wananchi wa vijiji vitatu vya Dalla,Kongwa na Mbwade kwa lengo la kusikiliza kero zinazowakabili.
Wananchi hao wakiwa na mabango hayo yaliyobeba ujumbe mbalimbali ikiwemo kumuomba Rais Dk Samia Suluhu Hassan kusikia kilio chao kuhusu kudhulumiwa ardhi yao na Waziri huyo wa zamani Mpina.
Akiwasilisha kero hiyo kwa mkuu wa wilaya hiyo,Consolata Mchuma,awali wakati akiwa mjumbe wa Serikali ya kijiji cha Dalla,wananchi waliteseka kwa zaidi ya miaka nane iliyopita kuhusiana na tatizo hilo la kuchukuliwa kwa ardhi yao .
Alisema baada ya kutangaziwa na Serikali ya kijiji kupatikana kwa mwekezaji Mpina walikubali kumpa ekari 300 kwa kukubaliana kila ekari atatoa kiasi cha shilingi 5000 kwa mwaka huku akitakiwa kujenga madarasa manne ikiwemo mawili shule ya msingi Dalla na mawili shule ya msingi Kilengezi pamoja na kuendelea kulima lakini mpaka sasa hajatekeleza makubaliano hayo.
Alisema mwaka 2016 akiwa mjumbe wa serikali ya kijiji hicho,Mpina alileta barua ya kutaka kuongozewa eneo lingine la ekari 700 lakini wanakijiji walikataa kuongezea eneo lingine huku wakimtaka afike ofisini ili atekeleze ahadi yake lakini aliendelea kukahidi.
Alisema baadae alitwaa hilo eneo kwa madai kwamba amelinunua jambo ambalo hajahusisha kwenye mkutano wa kijiji wala kuhizinishiwa na muktasari wa kuridhiwa na wana kijiji.
Naye Diwani Mstaafu wa tarafa ya Mvuha,Marrystela Chamlungo,akiongea huku akibubujikwa na machozi,alisema pamoja na Mpina kuchuku eneo hilo lakini alidiliki kupitisha greda kwenye mazao yao na kuwasababishia hasara na alipoitwa kwaajili ya kulipa fidia aligoma kutekeleza.
Naye Mwenyekiti wa kijiji cha Mbwade,Salumu Malozo alisema mwekezaji Mpina,amemega eneo katika vijiji vitatu vya Mbwade,Kongwa na Dalla na kusababisha kuwepo kwa mgogoro wa wananchi wa vijiji hivyo.
Diwani wa kata Mvua Mfaume Amani,alisema wakati anaingia madarakani mwaka 2015 alikuta huo mgogoro ulionza mwaka 2009 na sula hilo lilifikia kwenye vikao mbalimbali ikiwemo cha Halmashauri kwaajili ya kurudishwa kwa eneo hilo lilochukuliwa na Mpina kwakuwa taratibu hazijafuatwa.
Kaimu Mkuu wa Idara ya Ardhi Halmashauri ya wilaya ya Morogoro,Halima Mtawazo alisema mwekezaji huyo alizungumza na halmashauri ya kijiji ya wajumbe 25 na kwamba maombi yake hayakukamilika kwakuwa wajumbe hao hawakuitisha mkutano wa kijiji ili kufanya uhamuzi wa kuidhinisha au kukataa kwahiyo hakumaliza taratibu zinazotakiwa.
Baada ya kusikiliza hoja mbalimbali za wananchi kuhusina na mgogoro huo,Mkuu wa wilaya Nsemwa alifikia kutoa maamuzi ya kuundwa kwa timu ya watalaam itakayopitia nyaraka za pande zote pamoja na kupima eneo shamba hilo ili kubaini ukubwa wake pamoja na kuhanisha mipaka.
Mkuu huyo wa wilaya alisema lengo la timu iliyopewa muda wa siku 14 ni kubaini uhalali wa nyaraka na upimaji wa mipaka ili kila upande uweze kupata haki yake kwenye vijiji hivyo.
Alimtaka mwekezaji Mpina kutoa ushirikiano kwa timu hiyo iliyoundwa ili kuweza kumaliza mgogoro na kuwawezesha wananchi kuendelea kushiriki katika shughuli za kilimo kwenye eneo hilo.
Akizungumza kwa njia ya simu kuhusina na mgogoro huo Mpina,alisema hayupo tayari kuzungumzia suala hilo kwakuwa tayari lipo tayari kwenye ofisi ya Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya hiyo ya Morogoro vijijini.
View attachment 2639715View attachment 2639716View attachment 2639718View attachment 2639720View attachment 2639724View attachment 2639726View attachment 2639727
Wewe ni mbwa tu kama mbwa wengine kokoumeona kuna mtu anafanya kampeni hapo, siasa iko wapi
Viwanja vya 20 kwa 20.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sasa wewe, Ukiwekeza ni kosa?
Akili za Mwafrika zinafanya tubaki masikini tu. Viwanja vya 20 kwa 20.