Hakuna jambo(baya) litanitokea. Kila mtu lazima aelewe hivyo.
The only thing I have said about this incident is that I don't want to talk about this this incident .
And I haven't talked about it.
Kuhusu hii JF, I don't have to be here.
Viongozi wanachemsha,ukiambiwa unasema "dishi imeyumba",sijui nini.
Halafu baadaye unalalamika watu wasiojulikana wamekuja na landtover nyeupe wamemchukua ndugu yako.
Siyo lazima niwepo hapa JF Na mini nasema nataka lutoka hapa JF.Niondoe hapa JF. Watu wanatukana sababu. NOTHING HAS HAPPENNED. Lakini wati wanataka kunichagiza,niwe mentally confunsed. How can I become mentally confused?
Sasa mtu kuniambia yeye ana simu ya DC wa Arusha ndio nini? Sipendi hixi dharau. Niondoe hapa JF.
Mimi nimuogope nani?
Wapo highly trained assassins wanalipwa hela nyingi kunilinda.
Kama nikidhurika,it means they are not doing their job properly.
Mimi nimesema Familia ya Nyerere lazima iheshimiwe in its totality. Siyo mtu amtukane Nyerere huyu,aseme,lakini sikumtukana Nyerere yule. Nyerere ni Nyerere tu,ukimtukana Nyerere mmoja,umewatukana wote.
Na mimi nitawaheshimu wakuu wa wilaya as a group. Siyo kwamba nimtukane DC huyu,niseme kwamba wengine sikuwatukana.
Nilikuwa nasoma juzi Thomas Jefferson anasema ,"The most important thing is the execution of the law." Which cannot be true,kwa sababu throughout history kumekuwepo na sheria nyingi sana kandamizi.
The most important thing is to formulate the laws. Like Solon.
Kuhusu hii JF I don't have to be here.
Tunapokuwa JF au Facebook au Twitter,it is just for the purpose of entertainment. There is no other purpose.
Kwa hiyo nasema niindoe JF NOW,basi,na hili tatizo liishe.
Kwamba,inahitajika strong leadership to hold the government together ili viongozi mikoani wa- reflect views za rais,kama,alivyokuwa anasema Jenerali a few days ago.