Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Which they can kama isingekuwa matatizo ya nicompoops kama huyu DC.
Mkuu Poppy Poppy Hatonn , ulipata muda wa kutosha kupumzika?Now I am too tired.
Wewe,take care of yourself.
P
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Which they can kama isingekuwa matatizo ya nicompoops kama huyu DC.
Mkuu Poppy Poppy Hatonn , ulipata muda wa kutosha kupumzika?Now I am too tired.
Wewe,take care of yourself.
Mkuu Gagi, Gagnija wewe unawajua watoto wote wa Nyerere?. Are you close family?.Hakuna mtoto wa Nyerere aliyekuwa O level 1985, labda kama alizaliwa nje ya ndoa.
Mkuu Poppy Poppy Hatonn, msaidie huyu member, Gagnija , mweleze kuhusu mdogo wako huyu wa Tambaza 1982-85!.Hakuna mtoto wa Nyerere aliyekuwa O level 1985, labda kama alizaliwa nje ya ndoa.
Nimeondoka kama vile nyumba inawaka moto.Naona umekwepa kujibu swali la msingi uliloulizwa hapo. Kwa wenye utulivu wa akili, tayari umetoa jibu indirectly!
Turudi kwenye mada. Kama DC hamtaki mtoto wa baba wa taifa hapo "Butiama", si angemuondoa tu kistaarabu bila kelele zote hizi na kusingiziana ulevi?
Au wewe ni mmoja kati ha hao ambao"wakitukana shenzi, wanalipwa milioni"?
Ndiyo maana nikasema kama mtoto wa nje ya ndoa sina ubishi.Mtu kuwa mtoto wa Nyerere lazima azaliwe na Mama Maria?.
Tumesoma Tambaza na mtoto wa Nyerere alikuwa ana kaa hapo Msasani!.
P
Yani mpaka nacheka😂😂Unasema DC kule ni mwanamke?
Well,wewe umenitukana sana hapa.
Baadaye labda nitaandika kitu hapa. Now I am too tired.
Wewe,take care of yourself.
Mkuu Gagi, Gagnija ,usitake kutuharibia mchakato wetu wa kumtangaza Nyerere Mwenye Heri, nimekueleza sisi tunaishi extended families, sio kila mtoto wa Nyerere ni lazima amezaliwa na Julius na Mama Maria. Tumesoma Tambaza na mtoto wa Nyerere alikuwa anakaa Msasani kwa Mwalimu Nyerere.Ndiyo maana nikasema kama mtoto wa nje ya ndoa sina ubishi.
Mtoto wa mwisho wa Maria hiyo 1985 ashamaliza kidato cha sita, na akiwa chuo.
Duh!Hapa Arusha hakuna matatizo. Kule Butiama zipo petty problems in the family zinazofanya haya matatizo yatokee.
People want money. Watu kila wanapokutukana "shenzi" wanapata shilingi milioni moja..
Tena mm Nina namba za dc wa Arusha namtonja kuwa jamaa yuko ahapa katimuliwa na dc huko musomaKwa hiyo, kulikuwepo na "tatizo" ndio maana, baada ya kufikiri "kwa dakika moja" ukaamua kuondoka kijijini na kwenda Arusha.
Sasa itakuwaje, endapo DC wa huko Arusha na yeye akiamua mtoto aondoke huko!
Huko ndiko kwenye matatizo zaidi, ukianzia kwa viongozi wavuta bangi kama RC,... huyo DC wa huko atakuwa na nafuu gani?Msasani ipo tele
Huyu mkuu 'Poppy' kweli ana jeuri, au ni kutoeleweka tu na wengi?Tena mm Nina namba za dc wa Arusha namtonja kuwa jamaa yuko ahapa katimuliwa na dc huko musoma
So hta Happ akileta jeuri atimuliwe
Mkuu nawe umeingia chaka 😂Baadhi ya watoto wa Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, ni issues!, mmoja wao tunaye humu JF, usiwaamini sana maana...
Naomba nisimalizie kwa heshima ya Mwalimu!.
P
Mmoja wa watu poa sana. He is a budhist monk.Huyu mkuu 'Poppy' kweli ana jeuri, au ni kutoeleweka tu na wengi?
Mnafki sana we mtu, kwani bila kujikombakomba kwa wakubwa huwezi kuishi?Sio wanataka ni wameanza mchakato wa kumtangaza Mwenye Heri, na formula ya Mungu, ukiokolewa, unaokolewa na nyumba yako yote kama Nuhu kwenye safina, hivyo soon unakwenda kuwa ni mtoto wa Mtakatifu Julius Nyerere, na wewe utakatifu utakuingia ghafla hauta onekana kama mlevi fulani, Parokia ya St. Peter's itatengeneza Groto pale Msasani na Mwitongo, tutakuwa tunakwenda kuhiji, maana Nyerere ndie atakuwa Mtanzania wa kwanza kutangazwa Mtakatifu!. Watoto wake wote utakatifu utawaingia kwa njia ya upako Mtakatifu!..
P
Mjomba pascal unataka kuniambia wewe pia dingi yako alikuwa ni mtu wa system kama wewe?Mkuu Gagi, Gagnija ,usitake kutuharibia mchakato wetu wa kumtangaza Nyerere Mwenye Heri, nimekueleza sisi tunaishi extended families, sio kila mtoto wa Nyerere ni lazima amezaliwa na Julius na Mama Maria. Tumesoma Tambaza na mtoto wa Nyerere alikuwa anakaa Msasani kwa Mwalimu Nyerere.
P
Code imekua ngumu kwako 😂Mkuu Proved , hakuna codes zozote hapa, huyu Poppy Hatonn ndiye yule yule Big Brother wetu, mtoto wa Mwalimu tuliyanae humu, this is his 3rd name anabadili humu, kiukweli jamaa ni issue, usimuamini sana!.
Usikute wala sio kweli DC amemfukuza, ila ni mtu wa vituko sana!, usikute shauri ya vituko vyake DC akamwambia sitaki kukuona hapa ile kiutani utani, ila kwa mujibu wa katiba yetu, mtu yoyote akiwa ni threat to peace and tranquillity ya eneo husika, anaruhusiwa kufukuzwa na kuhamishwa kwa nguvu kutoka eneo hilo, ila wengi wa waliokuwa wanahamishwa ni wanga na wachawi, huyu sio mchawi ni msumbufu tuu kutokana na kuishi kwa utopian world ya metaphysical na mystical universe!.
P
Dishi limeyumba yule Andrew.Huyo atakuwa Andrew.
Kabisa kabisa, ni mwandiko wa mwalimu huu. Nakumbuka pale aliposema mtu akikuuliza swali la kijinga na wewe mjibu hivyo hivyo.Mwandiko wa hoja ni wa Mwalim Nyerere huu hasa Sentensi ya mwisho.
Hehehe,sidhani kama unauongelea ule utakatifu.Sio wanataka ni wameanza mchakato wa kumtangaza Mwenye Heri, na formula ya Mungu, ukiokolewa, unaokolewa na nyumba yako yote kama Nuhu kwenye safina, hivyo soon unakwenda kuwa ni mtoto wa Mtakatifu Julius Nyerere, na wewe utakatifu utakuingia ghafla hauta onekana kama mlevi fulani, Parokia ya St. Peter's itatengeneza Groto pale Msasani na Mwitongo, tutakuwa tunakwenda kuhiji, maana Nyerere ndie atakuwa Mtanzania wa kwanza kutangazwa Mtakatifu!. Watoto wake wote utakatifu utawaingia kwa njia ya upako Mtakatifu!..
P